Naogopa wanafunzi wa kike wananitega

Naogopa wanafunzi wa kike wananitega

Mwambie ndo marupurupu yenyewe hayo,inkrimenti magu kagoma kutoa bora afidiefidee huko.
 
Hamjambo wana JF,

Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.

"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.

Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.

Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.

Je niko sawa fikra zangu?"

Wasalam.

Na inawezekana pia labda wameshasikia ' tetesi ' kama Wewe ni ' Shoga ' hivyo wanajaribu ' kukutega ' ili ' ubanduane ' nae waweze kuthibitisha. Nakushauri tu Mkuu Wewe tiririka na serereka nao ' Kibaiolojia ' ili wakukome na wakasimuliane mbele ya safari.
 
Na inawezekana pia labda wameshasikia ' tetesi ' kama Wewe ni ' Shoga ' hivyo wanajaribu ' kukutega ' ili ' ubanduane ' nae waweze kuthibitisha. Nakushauri tu Mkuu Wewe tiririka na serereka nao ' Kibaiolojia ' ili wakukome na wakasimuliane mbele ya safari.
Mmmmh, shoga, mbona dem wake uwa anakuja
 
Hamjambo wana JF,

Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.

"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.

Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.

Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.

Je niko sawa fikra zangu?"

Wasalam.
Ama KWELI walimu tunazalilishwa.Hv KWELI kitoto cha shule ya msingi miaka 11 mpaka 13 hao ndio wakubwa drs la 6 na 7 ndio wanakutoa udenda!!!!!!Shame on you na acha kidhalilisha kazi za watu
 
Kweli uyuu mwalim jela inamuandama,ulisoma chuo gani cha ualimu?watt wa p\s unaanzaje kuwataman wanao hao,embu katubu iyo dhambi
 
Hamjambo wana JF,

Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.

"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.

Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.

Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.

Je niko sawa fikra zangu?"

Wasalam.
kwa stairi hii si rahisi walimu kupewa stahiki zenu.
 
Kweli awamu ya tano balaa mpaka vitoto vya primary vinatega watu wazima jikaze Baba si umesikia ya babu mlinzi wa shule ya msingi huko bondeni kwa madiba
 
Kweli awamu ya tano balaa mpaka vitoto vya primary vinatega watu wazima jikaze Baba si umesikia ya babu mlinzi wa shule ya msingi huko bondeni kwa madiba
Sijaskia mkuu em ntupie io tory apa
 
Hamjambo wana JF,

Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.

"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.

Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.

Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.

Je niko sawa fikra zangu?"

Wasalam.
We nae hapo umetegwaje sasa, sema Wewe ndio unaowatamani mgoni Wewe.
Halafu ukipelekwa ndani kwa kosa la kubaka watakufanya mbaya wafungwa wenzako. Mara miaufanye kosa jingine na sio kutembea na mwanafunzi
 
Kwahiyo mkuu na we hao watoto shuleni umewapenda mpaka kuwafungulia uzi hivi si wadogo zako hao au ndio nyie mdogo mpaka mzaliwe wote
Sina dalil za kuwataman, sijui wanamatatzo gani.
 
Kama sio nayeye anatamaa unaanzaje kuhisi watt wanakutamani,kama huna mawazo hayo unadhani hao watt watakazana kujitamanisha kwako,
You just have to ignore them and they will stop,
Helped, namsomea, mawazo yenu, ata -filter mwenyew
 
Walimu wa siku hizi wana laana ndio maana watoto wanazidi kuwa vilaza..
 
Mwambie jamaa yako yeye sio mwalimu na hana wito kufeli shule kulimfanya aende huko pumbavu zake soon atafeli na maisha
 
Back
Top Bottom