not found 404
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 322
- 177
Hamjambo wana JF,
Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.
"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.
Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.
Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.
Je niko sawa fikra zangu?"
Wasalam.
Ni hoja ya mtu ambaye si memba, kutokana na ninavyoisifia JF anataka apate ushauri hapa.
"Mimi ni mwalimu wa p/s, nimekuwa kazini kwa muda kidogo.
Siku hizi nakabiliwa na tatizo la kutegwa tegwa nawanafunzi, wanapenda kunichekea chekea irregular, kunichungulia chungulia, kunirembulia kwenye adhabu. Mpaka nimekuwa nikihisi kwa hulka yangu ya ukali mda mwingine, labda wazazi wamewapa mbinu nitengenezewe kesi.
Tabia hii inaudhi, nahisi nategwa.
Je niko sawa fikra zangu?"
Wasalam.