Nashukuru sana kwa ushirikiano lakini tatizo linakuja hapa mm nanunua mother bord kwa lilo na wengi wetu humu tuna moja moja sasa niko njiani kutatua hili tatizo kwani ni changa moto nimepata....
Kwanza niwafahamishe kitu kimoja wengi wetu hawajaelewa lengo kwani wanaamini me labda nafufua mateherbord no mimi nanunua material ikli nikatengeneze matherbord mpya kabisa.
Natakiwa ni process upya hayo materlia ili nitengeneze mother bord za sim,redio,tv,moniter na hata vifaa vingine na mimi nimekua agent kwa Tz ili niwatumie mzigo.
Sasa nahitaji mzigo mkubwa ili niweze ku kufanya nao biashara nahitaji mzigo kuanzia kilo kumi na iwe siv,tv mother bord auscana na photocopie,radio na vingine vyovyote vinavyo fanana na hivyo.
Computer haijalishi iwe hata ya kizamanai kiasi gani sisi tunahitaji mother bord tuu kwa wingi wowote .