Nani....?

Mimi kiukweli mbali na kuboreka sometimes watu wanaoniboa ni wale wanaojifanya wanajua kuliko wengine, afu wanajifanya wao wanadharau wenzao wakitoa mawazo yao, wanajifanya wao ni wa zamani humu jf so wengine wanawaona kama hawaelewi chochote,
by the way kama mtu kakuboa una PM sio unamkashifu hadharani.


Nina wasiwasi na hii thread, itaongeza uhasama baina ya wana jf.
Vinginevyo nawapenda wote wanaoheshimu mawazo ya watu na ukiona thread ya mwenzio inakuboa sio lazima uchangie kuliko kuleta majungu.
 
Kama ilivyo majumbani..maofisini au hata mtaani lazima kila mtu kuna watu anaowapenda (admire) zaidi ya wengine na wengine huwapendi (disapprove of ..get disgusted with...dislike) kwa mambo wanayofanya au wanavyoyafanya.Hii ni hali ya kawaida tu kwahiyo naamini hata hapa JF wapo wanokuboa kwa namna moja ama nyingine.

Kwahiyo swali langu ni hivi nani/kina nani hapa JF unawaADMIRE kiasi kwamba hata wakichangia thread ambayo wewe hujaifurahia utaingia tu ili kujua walichoandika wao?!
Na je kina nani michango yao na thread zao zinakuacha umeshanga tu na kujiuliza hivi huyu mtu vipi?!

Mi nakua wa kwanza kusema nnaowadmire ni wengi kuliko wanaonishangaza...kwahiyo hawa ntawataja baadae!Anaeniboaga ni NN au Nyani Ngabu ukipenda...yani mshkaji ye michango yake mingi inaashiriabye anajiona ni bora kuliko!Kila kitu anajua yeye...na kila mtu amsikilize yeye.Kama tungekua tunaongea kwa sauti ningesema ni mmoja wa wale watu wasionyamazaga na kumuacha mwingine aongee.Hata kama hajui kitu atajifanya na kung‘ania anajua!

So
Next ni babu yangi ASIPIRINI...japo nampenda sana ila akianzaga kutetea infidelity basi naishia kutamani asingekua babu yangu nimpe kavu za uso!!Sorry babu...nimekua mkweli tu!!!

So vipi wewe......?!Usisahau sababu ili kama mhusika anaweza ajirekebishe au aendeleze libeneke kwa kinachofagiliwa!!

Faizafoxy na makaimati
 
Mimi kiukweli mbali na kuboreka sometimes watu wanaoniboa ni wale wanaojifanya wanajua kuliko wengine, afu wanajifanya wao wanadharau wenzao wakitoa mawazo yao, wanajifanya wao ni wa zamani humu jf so wengine wanawaona kama hawaelewi chochote,
by the way kama mtu kakuboa una PM sio unamkashifu hadharani.


Nina wasiwasi na hii thread, itaongeza uhasama baina ya wana jf.
Vinginevyo nawapenda wote wanaoheshimu mawazo ya watu na ukiona thread ya mwenzio inakuboa sio lazima uchangie kuliko kuleta majungu.

Uhasama kwakuambiwa ukweli?Huo utakua utoto!!!Mbona mi sina uhasama na Hus?!
 
ah mi nacheza mganda leo ..nshavaa kaptula na raba nyeupe..MONILE KADALA VEVE!!!!!!
Ngoja nirudi kuedit Rose namba tatu...sasa mshaelewana lugha na NN si msogee pembeni na taarabu zenu!?
 

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom