mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
NANI ZAIDI?
1=Mkurya aliyekwenda benk na
Spana kufungua akaunti.
2=Msambaa anayevua viatu ili
apande taksi.
3=Mkwere
anayepanda kitandani na rula
kupima atalala muda gani.
4=Nesi wa kisukuma
anayemuamsha mgonjwa ili ampe
dawa ya usingizi.
5=Mchaga anayepunguza Sauti ya
tv ili ahesabu hela.
6=Mluguru anayekwea mwembe
kuchagua yaliyoiva halafu anashuka
chini na kuyaangua kwa mawe.
7=Mjita aliyeng'arisha viatu ili apige
picha ya Paspoti Saizi...?
1=Mkurya aliyekwenda benk na
Spana kufungua akaunti.
2=Msambaa anayevua viatu ili
apande taksi.
3=Mkwere
anayepanda kitandani na rula
kupima atalala muda gani.
4=Nesi wa kisukuma
anayemuamsha mgonjwa ili ampe
dawa ya usingizi.
5=Mchaga anayepunguza Sauti ya
tv ili ahesabu hela.
6=Mluguru anayekwea mwembe
kuchagua yaliyoiva halafu anashuka
chini na kuyaangua kwa mawe.
7=Mjita aliyeng'arisha viatu ili apige
picha ya Paspoti Saizi...?