Kuna mistari huwa anadondosha nimeiona sehemu kabadili jina tu kutoka Ethel to ... inabidi nimstahi mshkaji au ningeileta hapa.hehehe kamanda hapa nimecheka kwa laudi speaker. CPU anakuwa anachukua nyimbo za Pepe kalle halaf anatafsiri kwa kiswahili anatongozea. Hii teknik kama haujui kilingala hauwezi kuishtukia.
Halaf tangu iwekwe ile picha yako na Lizzy jamaa hajaonekana tena! god forbid isije ikawa kameza sumu ya panyaKuna mistari huwa anadondosha nimeiona sehemu kabadili jina tu kutoka Ethel to ... inabidi nimstahi mshkaji au ningeileta hapa.
Khaaa! atakaemPM AD leo imekula kwake.
waswahili wameiba handbag nini?nina hasira za nyuki leo..
mmmhhh
There are currently 30 users browsing this thread. (12 members and 18 guests)
Dah! huyo hapo wa kijani nimemmiss kweli aisee
waswahili wameiba handbag nini?
Usinikumbushe ile picha yaliotokea we acha tu.Halaf tangu iwekwe ile picha yako na Lizzy jamaa hajaonekana tena! god forbid isije ikawa kameza sumu ya panya
Dah! huyo hapo wa kijani nimemmiss kweli aisee
NAWACHUKIA WOTE MNAOCHAKACHUA HII THREAD!!Siku njema!!
sipendi
MADHARAU, uwivu usio na maana,
kuchangia poster ajili unamjua mtu au
kwa sababu yuko hapa kwa muda, watu
wanaotukana MODS, watu ambao hawajui kati
utani na ukweli, sipendi wanao dharau wageni( wana JF wapya)
napenda
kila mtu hatakama hunipendi hainijalishi
kwani hunijui sikujui ... ( zaidi napenda dawa zote)
na wanaopenda uchesi , wanaosema kilichoko
akili mwao bila kujali nani ni nani ( bado wanazingatia Sheria)
zaidi napenda mtu anae msiifu mwenzie kwa kazi nzuri
alie fanya...
NAWACHUKIA WOTE MNAOCHAKACHUA HII THREAD!!Siku njema!!
NAWACHUKIA WOTE MNAOCHAKACHUA HII THREAD!!Siku njema!!
Ar u pregnant? Bad newz 4 me...Nawaangalia tu.....
Ngoja nikatafute udongo kabla sijafura mpaka nipasuke!
Nawapenda kwa moyo wangu wote wafuatao:
Wasichana: NEMO, FREEMA ....., ASHA D, ROSE 1980, LIZZY,FIRST LADY 1,BELINDA JACOBS,AFRODENZI na natamani siku moja tujuane zaidi ya JF, napenda hoja zao na uwezo wao kufikiri,kujenga hoja na kutetea hoja yao na zaidi wana mioyo/akili inayochukulia mambo serious.
Wanaume nawapenda wafuatao: The Finest, EMT, Nonda,Arsene Wenger,Balantanda, Speaker,BAK,Klorokwini wa ukweli,Uporoto,Mbu na zaidi japo hayupo JF siku hizi Hashycool!
Sijapata bado wa kumchukia......!!!