Awwww thanxxx DP...ukichora moja mi nachora mbili!Mi simchuki mtu ila nazipinga zile thread zenye kuitazama jinsia moja kama malaika na nyingine kama vijaragosi.
LIZZY your my no1, then come.: husninyo, afrodenz, dena, asha d, the finest, paka jimmy, michele, speaker, eliya, na wanaJF WENYE POSITIVE THINKS TO SAVE THE PEOPLE TO SAVE THE WORLD FROM THE NATURE'S GIFFEN HEROES without weapons pamoja sana wagen na wenyeji.
<br />Mi simchuki mtu ila nazipinga zile thread zenye kuitazama jinsia moja kama malaika na nyingine kama vijaragosi.<br />
LIZZY your my no1, then come.: husninyo, afrodenz, dena, asha d, the finest, paka jimmy, michele, speaker, eliya, na wanaJF WENYE POSITIVE THINKS TO SAVE THE PEOPLE TO SAVE THE WORLD FROM THE NATURE'S GIFFEN HEROES without weapons pamoja sana wagen na wenyeji.
Barahaba Kloro habari ya siku.
Ukiwaona kina Lizzy na Mishelle wasalimie.
Karibu mbege, uje na Husninyo.
Halafu muulize Afro D, Paka Mweusi yuko wapi?
Unileletee majibu.
Dou nilikuwa bize naangalia nani ingalau ananihusudu nimekuta kush nehi, but hii hainikatishi tamaa, im spreading my love to my all special friends hawa wako kwenye profile yangu, na wale wote wanaonipenda na wasionipenda. Sina sababu ya kuchukia mtu yeyote hata kama amenikera kwenye uchangiaji wake, sanasana nachukulia kama changamoto ya kuendelea kwenye thread nyingine
Mi simchuki mtu ila nazipinga zile thread zenye kuitazama jinsia moja kama malaika na nyingine kama vijaragosi.
LIZZY your my no1, then come.: husninyo, afrodenz, dena, asha d, the finest, paka jimmy, michele, speaker, eliya, na wanaJF WENYE POSITIVE THINKS TO SAVE THE PEOPLE TO SAVE THE WORLD FROM THE NATURE'S GIFFEN HEROES without weapons pamoja sana wagen na wenyeji.
Sijambo AD malaria tu inanitesa, thanx love nakupenda piauko kwenye List ya moyo wangu mpenzi..
hujambo lakini?
Sijambo AD malaria tu inanitesa, thanx love nakupenda pia
dahhh pole sana dear
dawa gani watumia
Klorokwin au Asprin??
Fansidar najua utanshangaa ila naitumia siku zote this time imedunda nahisi
NAWACHUKIA WOTE MNAOCHAKACHUA HII THREAD!!Siku njema!!
Thanx Ennie kwa upendo wako, napenda pia unavyochallenge watu kwenye posts zaoNawapenda wote wanaoshindana kwa hoja. My favourites ni Dena Amsi, Michelle,Asha D,Preta,First Lady,The Finest,Gaga and You Lizy. Nawachukia wote wanaowatukana wenzao wakikosoa post zao.
Nawapenda wote wanaoshindana kwa hoja. My favourites ni Dena Amsi, Michelle,Asha D,Preta,First Lady,The Finest,Gaga and You Lizy. Nawachukia wote wanaowatukana wenzao wakikosoa post zao.
Hapana mie mwanamke nawazimia wanaume wengi tu humu kwa michango yao kama MM,MTM,Wilbald,The Boss+, The Finest, Uporoto, Mu-sir,Bubu Ataka kusema( sababu ya Utube),bila kumsahau Rev Mas, bujibuji na wewe ngodya, ni wengi ila hawa wapo on top kwenye listHapa akina baba tuna changamoto maana unaowapenda ni wadada(au wenye majina ya kina dada) tu!