BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,110
- 14,074
Kupitia Observation.
Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.
Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.
Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.
Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.
Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.