Nani mwingine kagundua hili?

Nani mwingine kagundua hili?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,110
Reaction score
14,074
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
huo ndio uhalisia.
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Inategemeana na utamaduni wa kiongozi aliyepo madarakani. Kuna wanaona kucheza Ngoma ni maendeleo na kuna wanaona kufanya kazi ni maendeleo. Sasa inategemea tupo kwenye awamu ipi
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Tofauti nyingine ni kuwa awamu ya tano walikuwa wanazindua moradi mara mbili mbili.
awamu hii hata kama wanatuona nyani ila hawataki kuhadaa.
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Sasa atazindua mradi gani aliouanzisha? Machawa wake yanatangaza miradi ya kusadikika eti kazindua mahospitali, vituo vya afya, kajenga madarasa, ..blahblah nyingi! Hivyo vitu ni negligible na vilikuwepo tayari na miradi kama hiyo hiko ngazi za Halmashauri! Hela yake ni ndogo kiasi mwenge wa uhuru ndo unazindua miradi kama hii! Sasa rais eti azindue madarasa wapi na wapi?
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Posho mkuu
 
Kwa miaka yote miwili na ushee hakuna mradi wowote mpya ulioanzishwa awamu ya sita ni bla bla na kulalamika pesa hamna kwa sababu awamu ya tano ilianzisha miradi mikubwa sana kwa hiyo ni kama wanaona yatawashinda kukamilisha ndio sababu ya kuhangaika kuzurura nchi za watu kuomba misaada ambayo mingi inakuja na ajenda ya ushoga

Tuna safari ndefu
 
Kupitia Observation.

Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.

Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.

Au nyie bado hamjagundua kinachoendelea

Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Bila kusahau kuunga mkono royal tour! Sasa hivi hiyo ndio habari ya mjini. Watu wanafanya tour za ndani na nje ya nchi kuunga mkono juhudi za mama! Nchi imerudi mahala pake
 
Back
Top Bottom