Nani mwenye nyimbo hizi?

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,632
68,560
Habari wadau wa mziki!

Natafuta nyimbo hizi kama kuna mtu anazo anitumie au aziattach hapa tuzidownload.

1.BDP--Rudi Mpenzi
2.SOS B----Kukuru kakala zako wewe
3.Jose Mtambo--Wakati wa kujilinda sasa utakoma utaenya na kithaathaa.
4.Unique Sisters ft mac D---Bounce

Nawasilisha.
 
Da mkuu, kudownload siyo vizuri. Tulinde wasanii wetu. Nyimbo nzuri sana hizo mimi nadhani ninazo niko mbali tu na kacomputer kangu nikiziona itabidi ukalipe Basata then ndo nikutumie.
 
unanikumbusha time ago. nilwah kuwa nazo zote nimezirekodi kwenye kanda frm radio. tena nakumbuka ni radio 1 kipindi cha abut sadiki na show time ya RFA na kidbway na homeboy. in case ukizipata. unaukumbuka Summer party wa soggydoggy? tupa mawe za zahran na complex? Watasema wa majizee na solothang? kigetogeto original wa necha na king sopeto? vp ntapata wa Wimbi la njaa wa necha?
 
kuna mtu anaweza kuwa na za jide zile za long time kama aloimbaga na prof j wa zamani sana cjui unaitwaje ila unaanza jay anachana na jide kwenye chorus anaimba " dini kwetu si 7bu ya mi na we kupendana" na kuna trak ya mambo ya feza ya sugu na jide. vp kuna m2 ana ngoma ya LWp ya panya? kindumbwe ndubwe ya FDC?
 
Back
Top Bottom