Lol, hilo limepita ili kuboresha huduma zetu na kufanya media yetu itizamwe na watu wa kila rika, tunapiga nyimbo za 'dizaini' zote ili watazamaji na wasikilizaji wetu wafurahi kile wanachotaka.
Lol, hilo limepita ili kuboresha huduma zetu na kufanya media yetu itizamwe na watu wa kila rika, tunapiga nyimbo za 'dizaini' zote ili watazamaji na wasikilizaji wetu wafurahi kile wanachotaka.Naaam,
Hahahaha
Si kweli nyimbo mnazopiga 90% ni bongo fleva na asilimia iliyobakia ni za wanigeria na wamarekani wakati hapa ni Bongo. Ukienda huko Nigeria au Marekani hawapigi nyimbo zetu ila nyie mnawabeza.