Nani mmiliki wa Dar express

Nani mmiliki wa Dar express

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,303
Dar express inachafuliwa kuna wapuuzi pale kwenye ofisi ya zamani ya dar express ubungo kabla haijahamia shekilango wana chafua jina la Dar express.

Nani mmiliki wa kampuni hii?
 
Dar express inachafuliwa kuna wapuuzi pale kwenye ofisi ya zamani ya dar express ubungo kabla haijahamia shekilango wana chafua jina la Dar express.

Nani mmiliki wa kampuni hii?
Mzee Mremi anapatika Kinondoni.
 
Hao ni wapuuzi tu. Mmiliki ni njemba ya pale Mwika Moshi, anaitwa Mremi. Nikupe namba yake??? Washamba ni wengi Tanzania!
 
Dar express inachafuliwa kuna wapuuzi pale kwenye ofisi ya zamani ya dar express ubungo kabla haijahamia shekilango wana chafua jina la Dar express.

Nani mmiliki wa kampuni hii?
Mimi
 
Back
Top Bottom