OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,179
- 103,660
Miqsonne
Samata
Bila kujali timu wanazochezea. Bila kujali nafasi wanazocheza. Kwa kuangalia viwango vyao kwa kuzitendea haki nafasi zao katika timu; nani mkali kati ya Samata na Miqsone
Yaani jina ulilonalo JF na unayoandika hapa ni mbingu na ardhi. Ukipewa heshima jiheshimu. Mchezaji wa kiwango atacheza ligi ya Tanzania? Au unamuona ana miaka 17?View attachment 1583630
Miqsonne
View attachment 1583631
Samata
Bila kujali timu wanazochezea. Bila kujali nafasi wanazocheza. Kwa kuangalia viwango vyao kwa kuzitendea haki nafasi zao katika timu; nani mkali kati ya Samata na Miqsone
hata mimi nimemshangaa sana.Yaani jina ulilonalo JF na unayoandika hapa ni mbingu na ardhi. Ukipewa heshima jiheshimu. Mchezaji wa kiwango atacheza ligi ya Tanzania? Au unamuona ana miaka 17?
Samatta tunamvunjia heshima japo nae alipita Simba.Watu na mahaba yao.
Kosa la kwanza: Unamlinganisha mchezaji aliyepata mafanikio vs mchezaji asiyejulikana Africa na ulimwengu wa soka kwa ujumla na asiye na mafanikio yoyote.
Kosa la pili: hivi inawezekana vipi kumlinganisha wachezaji wenye nafasi mbili tofauti mfano golikipa dhidi ya straika?
huu ushabiki maandazi, huyo unayemfananisha na Samatta Bonden tu kafel!View attachment 1583630
Miqsonne
View attachment 1583631
Samata
Bila kujali timu wanazochezea. Bila kujali nafasi wanazocheza. Kwa kuangalia viwango vyao kwa kuzitendea haki nafasi zao katika timu; nani mkali kati ya Samata na Miqsone
Wa kawaida kama nani hapa Bongo yetuSamatta wa Aston Villa ni wa kawaiiidaa saaana!
Kama ulishawahi kusikia tuzo za mchezaji bora wa mwezi, msimu (mwaka) na dunia, unawezaje kushangaa na hilo japo sio vyema sana.Watu na mahaba yao.
Kosa la kwanza: Unamlinganisha mchezaji aliyepata mafanikio vs mchezaji asiyejulikana Africa na ulimwengu wa soka kwa ujumla na asiye na mafanikio yoyote.
Kosa la pili: hivi inawezekana vipi kumlinganisha wachezaji wenye nafasi mbili tofauti mfano golikipa dhidi ya straika?
Julio na Manara ndo bora.View attachment 1583630
Miqsonne
View attachment 1583631
Samata
Bila kujali timu wanazochezea. Bila kujali nafasi wanazocheza. Kwa kuangalia viwango vyao kwa kuzitendea haki nafasi zao katika timu; nani mkali kati ya Samata na Miqsone
LMS ni fundi wa mpira kumzidi SAMAGOAL