Nani mjinga zaidi?

Nani mjinga zaidi?

Access Denied

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
655
Reaction score
211
MCHAGA anamdai MPARE hela. Huku MSAMBAA akishuhudia

MPARE:nimesema sikupi bora nijiue... (kwa ubahili wake mpare akajichoma kisu akafa)
...
MCHAGA:kiruu umejiua mbee sikubali na kufuata huko huko unipe pesa yangu (kwa kupenda hela mchaga nae
akajichoma kisu ili amfuate)

MSAMBAA:tateee nane nane..yaani hawa wanataka kuninyima uhondo wanaenda kudaiana huko ili nisione,walah sikubali nami najichoma (msambaa kwa umbea tu,na uboya wake nae akajichoma akafa!
 
Mi nadhani Mtunzi wa kisa hiki cha kijinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom