Nani mjinga kati ya hawa.

Mar 2, 2013
37
5
1:Anaye weka majani ya chai kwenye sprite ili iwe cocacola. 2:Anaye fikiri mzungu ana kivuli cheupe. 3:Aliye mkimbia simba porini wakati alikuwa anaenda kujinyonga. 4:Aliye jifanya kaokoka sana mpaka ugali anasongea msalaba. 5:Aliyetoa mimba wakati usiku analala na mdoli. 6:Aliye enda kuulizia mkaa supermarket. 7:Aliyeenda kuvua samaki swimmngpool. 8:Aliyesimamisha gari la abiria kuulizia muda. 9:Aliyechunguza tundu linalovuja kwenye barafu. 10:Aliyekunywa sumu kwa kutaka kupewa maziwa.
 
Anaefikiri mzungu ana kivuli cheupe hahahha huyu ndo taahila sana kabisa fun kwelikweli

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
1:Anaye weka majani ya chai kwenye sprite ili iwe cocacola. 2:Anaye fikiri mzungu ana kivuli cheupe. 3:Aliye mkimbia simba porini wakati alikuwa anaenda kujinyonga. 4:Aliye jifanya kaokoka sana mpaka ugali anasongea msalaba. 5:Aliyetoa mimba wakati usiku analala na mdoli. 6:Aliye enda kuulizia mkaa supermarket. 7:Aliyeenda kuvua samaki swimmngpool. 8:Aliyesimamisha gari la abiria kuulizia muda. 9:Aliyechunguza tundu linalovuja kwenye barafu. 10:Aliyekunywa sumu kwa kutaka kupewa maziwa.

iko sawa
 
1:Anaye weka majani ya chai kwenye sprite ili iwe cocacola. 2:Anaye fikiri mzungu ana kivuli cheupe. 3:Aliye mkimbia simba porini wakati alikuwa anaenda kujinyonga. 4:Aliye jifanya kaokoka sana mpaka ugali anasongea msalaba. 5:Aliyetoa mimba wakati usiku analala na mdoli. 6:Aliye enda kuulizia mkaa supermarket. 7:Aliyeenda kuvua samaki swimmngpool. 8:Aliyesimamisha gari la abiria kuulizia muda. 9:Aliyechunguza tundu linalovuja kwenye barafu. 10:Aliyekunywa sumu kwa kutaka kupewa maziwa.
Aliyeandika ndiye mjinga maana hajui mjinga nani!!!.
 
1:Anaye weka majani ya chai kwenye sprite ili iwe cocacola. 2:Anaye fikiri mzungu ana kivuli cheupe. 3:Aliye mkimbia simba porini wakati alikuwa anaenda kujinyonga. 4:Aliye jifanya kaokoka sana mpaka ugali anasongea msalaba. 5:Aliyetoa mimba wakati usiku analala na mdoli. 6:Aliye enda kuulizia mkaa supermarket. 7:Aliyeenda kuvua samaki swimmngpool. 8:Aliyesimamisha gari la abiria kuulizia muda. 9:Aliyechunguza tundu linalovuja kwenye barafu. 10:Aliyekunywa sumu kwa kutaka kupewa maziwa.
 
Back
Top Bottom