Nani mjanja?

Squidward

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
8,383
Reaction score
10,457
NDOA Bana.....

Kwenye zizi la ngombe, mke akawa anashangaa dume linavyopanda jike. Akamuuliza dk wa mifugo,

MKE: "Hivi hili dume hupanda mara ngapi kwa siku? "

DOKTA:" kwa wastani mara sita kwa siku

Mke akamgeukia mumewe, "unaona! ...."

Mume akajifanya hajasikia lolote.... Kisha akamgeukia Dk wa mifugo na kumuuliza,

MUME: Hivi hizo mara sita kwa siku huyu dume huwa analipanda jike hilo hilo?

DOKTA:Hapana, huwa anapanda majike tofauti

"Mume akamgeukia mkewe huku akitabasamu,

"Unaona! ...."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…