Habari wadau..
Katika simba nani mkali kuliko wote kwa kikosi cha mwaka huu
Na yanga ni nani.
Upande wangu simba wananichanganya maana mpira mkubwa nawaona wengi sana sijui nani bora kuliko wenzake nikiambiwa nimchagua mmoja best of the best.. kati ya chama, luis miquissone, kagere, sijui nani anawazidi wenzake..
Kwa upande wa yanga.. namchagua muhuni morrison tu...pamoja na ukorofi wake wote ila ki kiwango hana mpinzani yanga ndio maana viongozi wanamkomalia pamoja na uhuni wake wote
Toa maoni yako
Katika simba nani mkali kuliko wote kwa kikosi cha mwaka huu
Na yanga ni nani.
Upande wangu simba wananichanganya maana mpira mkubwa nawaona wengi sana sijui nani bora kuliko wenzake nikiambiwa nimchagua mmoja best of the best.. kati ya chama, luis miquissone, kagere, sijui nani anawazidi wenzake..
Kwa upande wa yanga.. namchagua muhuni morrison tu...pamoja na ukorofi wake wote ila ki kiwango hana mpinzani yanga ndio maana viongozi wanamkomalia pamoja na uhuni wake wote
Toa maoni yako