BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Kwa tafsiri ya kikamusi:Malaya ni mtu yeyote mwanaume au mwanamke anayefanya mapenzi kwa kuyanunua au kuyauza.source Mackie hassan wa baraza la kiswahili.
Mwanamke akiwa na wanaume wengi nijuavyo mm huitwa Malaya,na mwanaume anaekuwa na wanawake wengi nje ya ndoa huitwa mhuni.