lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Habari zenu wanajamvi.
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekua na kesi nyingi za wapendanao hasa wale ambao tayari wameshafunga pingu za maisha kuchepuka toka njia kuu na kuwa wapenzi wengine wa pembeni.
Katika nyumba nyingine unaweza kuta mama ndie anaekosa uaminifu kwenye ndoa wakati baba haangaiki na michepuko au unaweza kuta baba ndie anayehangaika na michepuko wakati mama hana hayo mambo ya michepuko.
Ukimuuliza mwanamke atakuambia kwamba wanaume ndio wanaoongoza kwa kutokua waaminifu kwenye ndoa wakati ukimuuliza mwanaume nae atakuambia kwamba wanawake ndio ambao hawatulii kwenye ndoa zao.
Napata mtihani kujua jinsia ipi ndio inayoongoza kwa kutokua na uaminifu kwenye ndoa ndio maana leo nimeona niilete hii kwa great thinkers ili tujue ukweli uko wapi.
Karibuni wanajamvi tuweze kupata mawazo tofauti tofauti.
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekua na kesi nyingi za wapendanao hasa wale ambao tayari wameshafunga pingu za maisha kuchepuka toka njia kuu na kuwa wapenzi wengine wa pembeni.
Katika nyumba nyingine unaweza kuta mama ndie anaekosa uaminifu kwenye ndoa wakati baba haangaiki na michepuko au unaweza kuta baba ndie anayehangaika na michepuko wakati mama hana hayo mambo ya michepuko.
Ukimuuliza mwanamke atakuambia kwamba wanaume ndio wanaoongoza kwa kutokua waaminifu kwenye ndoa wakati ukimuuliza mwanaume nae atakuambia kwamba wanawake ndio ambao hawatulii kwenye ndoa zao.
Napata mtihani kujua jinsia ipi ndio inayoongoza kwa kutokua na uaminifu kwenye ndoa ndio maana leo nimeona niilete hii kwa great thinkers ili tujue ukweli uko wapi.
Karibuni wanajamvi tuweze kupata mawazo tofauti tofauti.