Nani kama Sugu?


We jamaa kweli ni mshamba kinoma,sugu katoa kitabu cha historia yake about 3yrs ago na kaeleza kila kila kitu halafu leo unasema bila mange usingejua km sugu kapitia life gumu,ni mabwege tu kama wewe ndio mnao muona mange bab kubwa kumbe na yeye poyoyo tu!
 
Mabishano hayana logic., yani kama wote mpo mna pampula kilabuni.
 
Pure recruitement ya Sugu ni Afande Sele, ila kama Balozi amekiri mwenyewe au Sugu amesema siwezi bisha maana kipindi kirefu kimepita na uzee unaanza kuninyemelea.

I respect that mkuu
I agree because almost 80% of wht u saying about this is true
Pure recruitment ya sug ni huyu afande
 
Kuna watu wamekuja kuchafua uzi, sio kila sehemu ni lazima tumalizie frustrations zetu za kimaisha. Tuwe positive sometimes kuaprishieti watu wengine ata kama atuwapendi.

Hapa nipo njiani natoka msibani kumsindikiza marehemu mzee mlingwa, babake na Mx. Nimejifunza mengi kuhusu maisha, maisha haya tunapita tu tutumie uhai wetu vizuri. Rip mzee mlingwa.
 

Hahahahaha nyie noma hahahah
 

Lile tamasha la ustawi wa jamii ni history nyingine aliyoiandika Sugu. Haijawai kutokea msanii wa ndani kukusanya nyomi kubwa kiasi kile tena wa Hip-hop huku akimshinda msanii wa kimataifa na wasanii wote wa Bongo fleva waliokuwa na show somewhere else.
 

Unataka kusema nini sasa?

Mi mwenyew nimeattend misba miwili leo.

Au ushaanza shusha vroba..!?
 

Akiendelea baada ya ujumbe huu dole la Kati linamhusu.
 
Unataka kusema nini sasa?

Mi mwenyew nimeattend misba miwili leo.

Au ushaanza shusha vroba..!?

Nilitaka kujaribu kukumbushia maisha haya tunapita tu, tusichukie watu kiasi hicho mpaka unatumia siku nzima unatukana tuuu. Kuna watu naona wamechukulia siasa kila angle na ushabiki kila angle kiasi kwamba life inawatesa bila sababu ya msingi.

Kuhusu viroba, pombe niliacha rasmi mwaka 2014 mwanzoni sijawahi gusa tena na sitarajii. Mungu aniepushe!
 
Hayakuwa mapenzi ni the best hip hop love song of all time kwa hapa tz . Kwa mujibu wa mimi.

Mbona mnaisahau ile ngoma alofanya na Stara, yaitwa 'kiburi ' cjui jeuri?

Stara ana flow like ths:

'wanachotakaa , wanachotaka wewe upate taabu raha kidogo chuki bila sababuuu.'


kuna mistari mikali humo ndani inayonifanya nikomae ktk kazi.
 

Nimekusoma. Amani itawale.
 

Hahahahahah umenikumbusha mbali sana mkuu, kipindi hicho matoz wananyoa panki za kina Shaba Ranks, Raba kubwa sana zakuitwa lakuchumpa unakuta ina tiki kubwa ya Nike.... Jeans za fubu, hapa unanoga ukipiga full jeans na koti lake... Ukionekana umebeba cd mkononi watoto wakali wote wako... Cd kipindi hicho uwe na ndugu kiwanja au ukaazime ushuani... Nakumbuka braza angu alikuwa anakanyaga mguu mpaka msasani kwa kina Roby kuazima tu cd za wakali wa mbele.
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnaisahau ile ngoma alofanya na Stara, yaitwa 'kiburi ' cjui jeuri?

Stara ana flow like ths:

'wanachotakaa , wanachotaka wewe upate taabu raha kidogo chuki bila sababuuu.'


kuna mistari mikali humo ndani inayonifanya nikomae ktk kazi.

Ile inaitwa dawa ya jeuri kiburi.. Video yake kafanya na ndinga lake kipindi hiko alikuwa anauza nalo sana tu terano black hivi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…