Nani kama Sugu?


Ndugu nenda kwenye tovuti ya bunge halafu tafuta cv ya sugu,hayo yote yapol
 
hahahahahahaha....naona wabishi wa town kitambo wanaongea hapa!...wale "wenzangu na mimi" wa hili jukwaa,kiiiiiiiiimyaaaaaaaaa!!
 
Ana wivu mpaka shetani anamwogopa.
Afu anajiona anaogopwa dunia nzima!
Like her opinion the Law! Pathetic clown.

Ni loser tu yule muuza Dildo..

anateswa na historia ya Maisha yake, Kilichomsibu mzee wake (Pumzika mahali unapostahili) ndicho kimempa maisha ya stress tupu. amekuwa na kimbelembele cha ajabu.
 
Le Mutuz kaa mbali na hii namba.....

Tena Lemutuz ukae mbali sana, Sugu alianza kurap Kabla ya FM na bado alijulikana karibu nchi nzima,
Hii Issue ya Faiza watu walitaka kuitumia ili kumharibia CV tu (wakaikuuuza) ila ukweli utabaki pale pale

Sugu moto chini...
Sugu moto chini

Nyimbo zake zote kali
 
matumbo umenifanya nipande juu mti nikuambie hivi asante sana
leo nimekukubali noma nomaa kwa suguuuu
mana niko mwandoya huku 3G NI SHIIDAH ila imebidi ntafute network

"wanachotaka wewee upate tabuuu"
raha kidogo chuki bila sababuuu
najua mama hilo ntalikabili
najuq jeuri dawa yake ni kiburiiii..........!!!$

TWO PROUD HOYEEEERR LONG SAANASS BONGO HIII UR ONE &ONLY LEGENDSSS....!!
SAFFFFIII@matumbo.......
 
Last edited by a moderator:

yani acha kabisaaaaa......enzi za kina fanani;niga jay b4 profesa....
 
Last edited by a moderator:
bila kuwasahau 'gwm - gangstaz with matatizo' walimrudisha sugu kwenye airwaves ile mbaya na ile ngoma yao ya 'yamenikuta'....wapi 'D-chief' na "KR"

aiseeeehhhh...nyie watuuuu hadi raha ...
yamenikuta mzee mwenzangu
enzi hizo kila tamasha kubwa daimond jubileeee...
 

mstari wa 27...!! nani laamesema kama fani imelala...!!
nyingine nimesahau ila sos p nomaaa
kuna sehemu anasema
sijui nini na nini sio mchezo mzuri jama..ma
 
mstari wa 27...!! nani laamesema kama fani imelala...!!


nyingine nimesahau ila sos p nomaaa


kuna sehemu anasema


sijui nini na nini sio mchezo mzuri jama..ma



Ni Sos P au Sos B?? Naikumbuka flow yake moja iko hivi.. Ni Sos B wama B, nafanya kwa bidii, Na wala sifuatilii mambo yako, peleka kule mambo yako tofauti na wenzako.... Yuko wapi huyu mtu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…