Nani kama Sugu?

Mkuu tafuta na ngoma moja ameitoa 2010 kama sikosei, inaitwa Hold on. Isikilize kwa makini.

Hold on aliitowa akiwa unyamwezini ni full hisia yani ukiwa mbeba box ukisikiliza nyimbo ile lazima ichote hisia zako.
 
Sitaki. Kwani vipi? Hiyo nyimbo ilikuwa kwenye albamu gani? Kuflash back ni kupotea? Wewe ndio unapotea hapa.

Album ya mwisho ya Sugu ilikuwa lini?

Tutafute base ya mabishano yetu. Tusibishane ki phmbi phmbi tu.
 

James Dandu alikuwa anaishi Sweden, siyo Marekani na yeye ndio mtoa wazo wa Tuzo za kili nashangaa mpaka leo wanashindwa hata kumuenzi na Dandu award hii nchi nyoko majitu mabinafsi sana.

Kuhusu swali lako la nani kaanza Bongo fleva hujaliweka vizuri, maana kama ni kurap kaanza Salehe el Jably na na kama ni kikundi cha kurap kilichoanza ni Kwanza Unity a.k.a KU Crew. Na kama ni Bongo Fleva kwa maana halisi ni Sugu.
 
Last edited by a moderator:
Hold on aliitowa akiwa unyamwezini ni full hisia yani ukiwa mbeba box ukisikiliza nyimbo ile lazima ichote hisia zako.
Ile ngoma Sugu aliimba kwa hisia sana, Inaonekana kuna mshikaji alimwimbia maana ni kama anampa mausia fulani hivi.
 

Nota bene: Just for ur information Muda mchache kuanzia sasa usiku huu, nitakuwa na Sugu Mbezi beach.
 

Hahahahahah Matumbo,

Nadhani unazungumzia yale Masahani makubwa ukilishika vizuri linatosha kujupepea kwa joto kali la Dar..!!! Yaani enzi hizo ilikuwa full burudani...!!

BACK TANGANYIKA
 
eAkumbukwe Sosikeneth Ambakisye Sos B.

Kwa single moja? Anyway kukurukarakara zako zitakuponza iliturusha kwa kipindi kile, hawa wote walishindwa kutoa Album ila sugu kila mwaka alimudu kushuka na album moja nzito muziki wa getto.
 
Hold on aliitowa akiwa unyamwezini ni full hisia yani ukiwa mbeba box ukisikiliza nyimbo ile lazima ichote hisia zako.
Matola nimekuomba nyimbo kadhaa za huyu gwiji, but sijapata mrejesho Mkuu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…