Nani kama mama??

Nani kama mama??

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
1420178294390.jpg
 
Halafu hawa ndege inasemekana katika maisha ya kuzaliwa, kuchanua, kuzaa mpaka kufa kwao wanakuwa na partner MMOJA tu.
 
Halafu hawa ndege inasemekana katika maisha ya kuzaliwa, kuchanua, kuzaa mpaka kufa kwao wanakuwa na partner MMOJA tu.

aisee...hiyo imekaa vizuri sana.

Hebu tupatie hiyo source ili tuwafundishie hawa "vibiriti ngoma" ambao wanaona kuvaa suruali za kubana na vitait barabarani ndio tabia njema.
 
I love my mama ROZALIA. mom Im luck 2 be ur son.

waauu...good news to hear!

Kumbe wewe ndio mtoto wake? Aisee umekua??!! kweli milima haikutani....ilikuaga ngoma yangu hiyo enzi zile niko pale TTC.

Au itakua nimefananisha majina...??!! Polepole usije kunilalua buree..!!
 
Back
Top Bottom