Nani kama Makonda?

Tuusubiri uteuzi wa ma DC na Rc's ndio utajua JPM ni team Warioba. Makonda atarud lima vitunguu Ruaha Mbuyuni nakuambia
 
Umeongea Ukweli wote. Tunahitaji Vitendo na si maneno. Hongerah sana Mh. Makonda!
 
Wewe ndio uombe msamaha hadhara kwa udanganyifu. Yaani wewe ndio uliyeumia kuliko Warioba mwenyewe?!?!? kwa uchungu gani. Mh. Warioba anajua Makonda ndio aliyemprotect na si kama mnavyotaka kutuamninisha. Hebu niambvie ninyi UKAWA huyu Makonda aliwafanyia nini? au kwa kuwa mnamuona jasiri mnamuogopa? Hebu nitajie UKAWA mmoja aliyefikia hata robo anayoyafanya Makonda hebu nieleze mmoja tu maana nikisema wawili ntakuonea just one!
 
Baada ya kujua kwamba kuna watu wanalipwa kuwasifia hawa wanasiasa, nikiona mtu anasifia inabidi nikae zangu kimya tu.
Ni lipi la uiongto alilosema? lipio? Ninyi ndio ingekuwa hamna vyombo vya habari mngetudanganya sana. Hebu site moja tu ambalo ni uongo!
 
Actually hao wanaodhani kupewa umeya ndiyo kuwaletea maendeleo watu ndio wanachemka. Kwa capacity zao wamefanya nini la maana zaidi ya kwenda mahakamani kupigana mabusu ya kijinga na mamigomo ya kijinga, Actually hao ndio wacheleweshaji wa maendeleo. Mh. Magu Futa kule mamanispaa upange safu yako ichape kazi. Tumechoka mabishoo wa kwenye maTV.
 
Ni lipi la uiongto alilosema? lipio? Ninyi ndio ingekuwa hamna vyombo vya habari mngetudanganya sana. Hebu site moja tu ambalo ni uongo!

Mkuu hakuna mahali niliposema kwamba kuna swala la uongo amelisema, nilichokisema ni kwamba imebidi niongeze umakini kwenye kuchuja habari na nikishindwa kuichuja nakaa kimya, na sababu ya yote ni juu ya memba mmoja humu JF kukiri kuwa amewahi kufanya kazi ya kuwatetea wanasiasa kwa malipo, na ilikuwa ni kikundi kikubwa tu.

Tena anaongezea kwamba alikuwa wakati mwingine anatetea hata vitu asivyovijua.
 
Mi nilivyosoma uzi huu niliona yoote ninayoyafahamu na ambayao yamefanika. Sasa kwa hao wanaolipwa sijui na wanafanya hivyo kwa faida ya nani? Watu husahau ukitetea upuuzi in one way inaweza kuaj kukuathiri mwyenyewe au uzao wake. Tuwaunge mkono kwa walio kwa ajili ya wengi na si wachache!
 
Mleta mada nataka kwanza unihakikishie 'usalama wa akili yako' ndio nilete hoja. Je hujawahi kufikishwa Muhimbili au Mirembe kwa matatizo ya 'kichwa' kuuma.
 
Nafikiri bado ujaijua vizuri picha ya Makonda now kwa wananchi. Nimeandika hii baada ya mjadala mzito hapa Kinondoni watu wanasema kawafunika mpaka mawaziri wa Magu. Wewe unalazimisha image unayotaka wewe. Kaa hivyo hivyo.
kama kijiwe kilichokuwa kinasema hayo ni cha mateja, wavuta bange au vijiwe vya wambea wenzio unatarajia nini. Jiongeze kdg acha kuja na umbea wa vijiweni.
 

Okay mkuu.
 
Tayari wana umeya wa kinondoni na ilala hakuna walichofanya hadi sasa wapowapo tu.
 
Tayari wana umeya wa kinondoni na ilala hakuna walichofanya hadi sasa wapowapo tu.
Unaona eeeh. Watu wanapenda vyeo ila kutumia vyeo hivyo kuletea wananchi maendeleo ni sheeder!
 
Kwako mleta uzi mr. Gentleman et al. Kwanza tupunguzie sifa za kijinga humu na mtoto wa kiume hutakiwi kujipendekeza kwa mtu yeyote na kwa namna yoyote. Huo ubunifu ni ule wa kuwaweka jamaa wa upimaji lockup, wa kuwatukana wabunge, wa kumpiga Warioba, wa kuwaombea walimu lift, wa kuwadanganya watoto wa wenzake waunde vikundi wapewe kazi, wa kujenga mtaa wa walevi na madadapoa au wa kukaa studio za clouds tv? Kama umetumwa na kutumika ili kumjenga kupitia media ila hana sifa za kiuongozi labda abebwe kama alivyozoea. Mwambie aache kudandia hafla zisizomhusu kama ile ya firstlady wakati anawaaga staff wenzake shuleni. Ukuu si kuuza sura na kuwabomoa viongozi waliochaguliwa na wananchi bali kushirikiana kuwaletea wanaoongozwa nanyi maendeleo. Aache fitina kwa Kubenea, Mdee, Mnyika, madiwani na mameya. Tumeanza kumchoka siye wakazi wenye vision na mision.
 



Labda nikuulize makonda kabla hajawa mkuu wa wilaya alifanya nini kwa ajili ya wilaya ya kinondoni
 
Labda unikumbushe alikuwa na cheo gani vile?!?!


Ndiyo maana nikasema ipeni ukawa cheo cha umeya uone hayo maendeleo, tatizo mnahukumu na kuhisia bila kuhakikisha kiuhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…