Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Mkoa wa kigoma ni moja ya eneo linalotumika kuwapa hifadhi wakimbizi wanaokimbia machafuko nchini mwao. Warundi, wakongo na wanyarwanda ni miongoni mwa watu wanaohifadhiwa kwenye makambi yaliko mkoani kigoma.
Bila shaka kabla ya wakimbizi hao kupatiwa hifadhi ya muda nchini walikuwa wakimiliki mali zinazohamishika na zisizohamishika kama mifugo, nyumba, mashamba/ardhi na hata biashara. Je! Wanapokimbilia Tanzania kupata hifadhi tena wengine wakikaa miaka mingi kwenye makambi ya wakimbizi nani anachukua ardhi yao kipindi chote wanapokuwa nchini? Je! Serikali ya Tanzania na nchi wanakotoka wakimbizi hao hufanya wanahakikisha wakimbizi hao pindi wanaporudi makwao wanakuta haki zao hazijapotea?
Bila shaka kabla ya wakimbizi hao kupatiwa hifadhi ya muda nchini walikuwa wakimiliki mali zinazohamishika na zisizohamishika kama mifugo, nyumba, mashamba/ardhi na hata biashara. Je! Wanapokimbilia Tanzania kupata hifadhi tena wengine wakikaa miaka mingi kwenye makambi ya wakimbizi nani anachukua ardhi yao kipindi chote wanapokuwa nchini? Je! Serikali ya Tanzania na nchi wanakotoka wakimbizi hao hufanya wanahakikisha wakimbizi hao pindi wanaporudi makwao wanakuta haki zao hazijapotea?