Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,239
- 4,061
Kwa mara nyingine ile ya kwa mkapa hatoki mtu leo huenda inavunjwa kama alivyofanya Raja Casablanca.
Alhalyl ni timu ambayo inaleta matokeo popote pale , hardly Ahly kufungwa goli tatu kama mashabiki wa SSC wanavyodhani. Ila kumfunga Simba goli tatu ni kawaida.
SSC mpira wao ni kwenye mdomo na media, mpira wa Alahly ni investment na key players .
Mimi nipo neutral, akifungwa SSC ni sawa na akishinda ni sawa ila guts zinaniambia leo yanatokea ya Raja Casablanca pale Taifa.
Simba alikula Goli tatu mbele ya Hamza wa Raja Casablanca.
nimechati na Tau, ni rafiki yangu tangu nipo Egypt kikazi , ameniambia, Mushi, sisi leo tumekuja kucheza mpira, SSC acheze mpira na sisi tunacheza Mpira, mmbora wetu ataondoka na ushindi.
Tau akaniambia. SSC haijawahi kuwa ni timu ya kipaumbele kwetu, SSC ni below average team kuanzia investment na key players waliokuwa nao.
All the best Al Ahly na SSC
Alhalyl ni timu ambayo inaleta matokeo popote pale , hardly Ahly kufungwa goli tatu kama mashabiki wa SSC wanavyodhani. Ila kumfunga Simba goli tatu ni kawaida.
SSC mpira wao ni kwenye mdomo na media, mpira wa Alahly ni investment na key players .
Mimi nipo neutral, akifungwa SSC ni sawa na akishinda ni sawa ila guts zinaniambia leo yanatokea ya Raja Casablanca pale Taifa.
Simba alikula Goli tatu mbele ya Hamza wa Raja Casablanca.
nimechati na Tau, ni rafiki yangu tangu nipo Egypt kikazi , ameniambia, Mushi, sisi leo tumekuja kucheza mpira, SSC acheze mpira na sisi tunacheza Mpira, mmbora wetu ataondoka na ushindi.
Tau akaniambia. SSC haijawahi kuwa ni timu ya kipaumbele kwetu, SSC ni below average team kuanzia investment na key players waliokuwa nao.
All the best Al Ahly na SSC