JD wanakimbiza kinoma..mkuu kupanga sio ishu ni matakwa ya mtu mwenyew!! Kuna mzee mmoja ni Mmiliki wa JD pharmaceuticals LTD, ana branches kila mahali za pharmacies kama kuna pharmacy inaitwa Jd mlimani city ya kwake, Jd pale Aura mall ni bilionea lakini kapanga masaki! Kupanga ni choice ya mtu...
Hakuna mahali Diamond amesema kanunua private Jet , ni watu Tu kuunganisha caption , Diamond ndo mwanadamu anayefatiliwa zaidi hapa bongo kwenye mitandao ya kijamaii , iwe positive au negative ndo mtu ambaye jina lake linaguswa zaidi kuliko mtu yyte ......nachojua alichothibitisha hvi karibuni ni kuwa ana nyumba sinza na amemkabidhi mama yake ale hela ya Kodi ......
Kuhusu nyumba 126 , diamond hajawah kusema , ni machawa tuu kuuchangamsha mji , hata hvyo Mali za diamond hazitakuja kujulikana kamwe na anayezijua Kwa usahihi ni mama yake tuu hii ni kutokana jamaa kazaa na wanawake tofauti wasaka fursa , lolote laweza kutokea
Wahindi kupanga ni jadi yao tangu Lile mtafaruku wa azimio la Arusha.mkuu kupanga sio ishu ni matakwa ya mtu mwenyew!! Kuna mzee mmoja ni Mmiliki wa JD pharmaceuticals LTD, ana branches kila mahali za pharmacies kama kuna pharmacy inaitwa Jd mlimani city ya kwake, Jd pale Aura mall ni bilionea lakini kapanga masaki! Kupanga ni choice ya mtu...
Mimba ya tunda ipo au haipoMkuu umeshamjua Baba wa Mtoto wa Irene uwoya tayari?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hakuna mahali Diamond amesema kanunua private Jet , ni watu Tu kuunganisha caption , Diamond ndo mwanadamu anayefatiliwa zaidi hapa bongo kwenye mitandao ya kijamaii , iwe positive au negative ndo mtu ambaye jina lake linaguswa zaidi kuliko mtu yyte ......nachojua alichothibitisha hvi karibuni ni kuwa ana nyumba sinza na amemkabidhi mama yake ale hela ya Kodi ......
Kuhusu nyumba 126 , diamond hajawah kusema , ni machawa tuu kuuchangamsha mji , hata hvyo Mali za diamond hazitakuja kujulikana kamwe na anayezijua Kwa usahihi ni mama yake tuu hii ni kutokana jamaa kazaa na wanawake tofauti wasaka fursa , lolote laweza kutokea
Anunue nyumba kwanzaWana jamvi wasalaam!
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa hapa nchini kuwa msanii Diamond amenunua private jet na huku wakisindikizwa na picha wakiwa kwenye ndege hiyo!
Wengi walisema ni kiki na ikumbukwe kuwa kipindi zinatoka habari hizi ni kipindi ambacho Msanii Harmonize alikuwa ametoa wimbo wake wa “atitudoo” na wengi walichukulia ni mbinu za kumkwamisha au kuzimisha “atitudooooo”
Tasnia ilifurahia sana hatua ya Msanii Diamond kununua private jet kwani ilikuwa ni hatua kubwa kwani ukizingatia tulitoka kujuzwa ana miliki nyumba “126” japo wengine walihoji inakuwaje mtu ana miliki nyumba “126” ande kupanga kwenye nyumba ambayo anaweza kuinunua tena haiwezi kuzidi 1billion”
Wengine walihoji kwanini asiuze nyumba hata 30 halafu aongeze pesa anunue hiyo nyumba anayo ishi sasa ambayo amepanga?
Lakini kibaya zaidi ni kitendo cha tajiri Diamond kushindwa kurudi na private jet yake aliyo inunua hivi karibuni?
Watu wanajiuliza inakuwaje amerudi bila private jet? Nani amemuhujumu? Nani amezuia kutua kwa hiyo ndege hapa nchini?
Wasalaam
Mtaani kwetu hapa kino mwaka jana kanunua nyumba 3 kwa mpigo karibu na kanisa la pindaAnunue nyumba kwanza
Msiame mada.Alikiba mboona anazo jet 7
Hamzijui kwasababu hapendi showoff