johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,689
Huu mtego kamwe wapinzani hawawezi kuutegua.Huwa najiuliza mbona Simba na Yanga ni vyama visivyo na ruzuku ktk michezo lakini viko imara?Kama si ruzuku sidhani kama lipumba angejirejesha Cuf au Zitto kuwa KC!Na ili CCM itawale milele ni lazima ruzuku kwa vyama vya siasa iendelee kuwepo.Huu ni mtazamo wangu tu.