Nani aliyemnyonga kamanda wa Polisi Zanzibar?

Aisee shetani kaamua ,yaani wasiojulikana wamefika mpaka Zanzibar .
Zanzibar wapo miaka yote ..hili ni geni kwa bara!
Huku si ajabu..tena yapo mengi yanafanyika...
Ndio maana wazenj wanajenga chuki na watanganyika..wanamaumivu...
na majeraha mengi....
 
Umeandika umbea tuu ulioota ndotoni. Siri ya kifo cha marehemu anaijua marehemu mwenyewe. Sababu ulizoweka hazina msingi wala uzito wowote wa kuchukua uhai wa mtu. Zaidi unajaribu kufanua uchochezi tuuu. Fanya kazi acha umbea.

uko Lumumba ?? Ulishatoa mchango wa mafuta ya mwenge ??
 
Uchawi ungekuwepo visiwani. CUF wangeshawaroga CCM kitambo sana. Albadr nayo ingekuwepo basi masheikh wa uamsho wangekua wako huru tena majumbani mwao
 
Mbona mkiambiwa alijiua mnapanick sana..haiwezekani au?

Jamaa alijiua.

Wewe una ushahidi gani kwamba ameuliwa?

Mimi nafahamu kwa mazingira ya kwake sio rahisi watu kumuua kimya kimya alafu wapande ukuta waondoke na yeyr asipige kelele kabisa.

Ukuta wa nyumba yake sio wa kuparamis kirahisi rahisi,na wala hakuna ushahidi wowote wa kuonesha kwamba ameuwawa.

Kama angrkuwa ameuwawa angechezewa paredi la heshima kwa mujibu wa cheo chakee.
Hivi wewe unaushahidi gani wakua alijiua?
 


Allah SW anasema sura 4:9

Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli wakhofia. Basi nao wamche Mwenyezi Mungu, na waseme maneno yaliyo sawa.

Ikiwa huyo Marehemu alikuwa ni mcha Mungu na msema ukweli, Allah ametoa uhakikisho wa maisha ya hiyo familia yake wakati yeye ameshatangulia.

Allahu Aalam
 
Kumbe una majibu yako ?Nilikuuliza hivi Lukuvi anapoiambia Zanzibar Sisi tunajeshi , Sisi ni Nani ?? Unaleta hadithi nyingi
Anaposema sisi kama anawakilisha serikali au watangakia ndo umenijibu hapo..?

Hujanijibu maswali langu,maswali yangu yapo waazi kabisa naomba kujuzwaa na wewe mzanzibari msafi...

Hujanijibu nilichouliza..

Nani anawalazimisha wazenji kuwa watanganyika...?

Ili uwe mtanganyika uwe una sifa zipi na tabia zipi kiasi kwamba ifike hatua isemwe kwamba huyu sasa ni mtanganyika rasmi..?

Lukuvi kusema "sisi tuna jeshi " ndo hapo kalazimisha vipi wazanzibari kuwa watanganyika,mbona hakuna uhusiano..?

Maswali yangu hujajibu mkuu,watu kama ninyi mtume kawasema vibaya sana na mafikio yenu juu ya ubaguzi na ukabila ni mabaya sana.

دعوهااااااااا......
 
Jamaa kajiuwa hilo lipo wazi.na ndio maana hakuchezewa paredi la heshima la mazishi..
Uchawi ungekuwepo visiwani. CUF wangeshawaroga CCM kitambo sana. Albadr nayo ingekuwepo basi masheikh wa uamsho wangekua wako huru tena majumbani mwao
 

Unatafuta ubishi usio mashiko au umeshaujua ukweli lakini unajaribu kuficha ficha ?? Lukuvi kaongea SISI TANZANIA BARA TUNA JESHI

Ikiwa Tanzania bara wana jeshi jee hapo Zanzibar linafanya kitu gani ?? kama si Uvamizi ??
 
Wazenji wakati mwingine wana chuki za kijinga tu mkuu.
Mtu anaeema eti jamaa kauwawa na watanganyika alafu sababu zenyewe za kitoto kabisa.

Wakati jamaa kajiuwa mwenyewe kabisa na ndyo msna hakuchezewa paredi la mazishi kwa sababu jeshi linakataa na hata sirro hakwenda baada ya kuthibitika alijiuwa.

Wazenji baadhi yao wana bifu za kijingaa,jamaa alijiuwa mwenyewe kwenye mabanda yake ya kuku nyumbani kwake,alikuwa amejitundika na kamba iko shingoni.

Alijiandaa hasa na hiyo siku alojinyonga simu aliacha ndani,na kuna rafiki yake alikuwa na kawaida ya kupiga nae stori baada ya swala ya usku,lakini siku hiyo akamuambia hayuko sawa amuache aende zake
Sasa jee jamaa alijua kama kuna watu wanakuja kumuua mpaka akatae kupiga stori na rafiki yake kama kawaida yao..?

Na huyo rafiki yake ndo alipigiwa simu mwanzo baada ya kuwa jamaa haonekani,akawaambia "nilionsna nae akaniambia hayuko sawa leo nimuachee"

Walipopiga simu yake wakaona inaita ndani na hapo ndo wakaanza kumtafuta wakamkuta kwenye mabanda yake kajinyonga.

Kauwawa vipi asipige kelele?
Watu wanakuja mpaka wanaondoka wasisikie vishindo kwamba kuna mtu anakabwa huko?

Na huo ukuta wa nyumbani kwake umefika ukauona ulivyo mrefu..?

Kiufupi alijjiuwa mwenyewe
Zanzibar wapo miaka yote ..hili ni geni kwa bara!
Huku si ajabu..tena yapo mengi yanafanyika...
Ndio maana wazenj wanajenga chuki na watanganyika..wanamaumivu...
na majeraha mengi....
 
Kwani kusema kwake sisi tuna jeshi ina maana watanganyika wote wanashiriki na kuingia katika kauli hiyo?

Watanganyika wote ni wavamizi wa zanzibar kwa sababu eti amesema mtu fulani wa serikali maneno hayo?

Na vipi kama aliposema sisi alikusudia wao serikali ya tanganyika na sio watanganyika wote mpaka sisi raia ambao hatuna mamlaka yeyote wewe unaleta tafsiri ipi..?

Hujanijibu nilichouliza..

Huyo lukuvi aliposema hivyo ndio maana yake wazenji wote wawe watanganyika....?

Ili uwe mtanganyika uwe una sifa zipi na tabia zipi kiasi kwamba ifike hatua isemwe kwamba huyu sasa ni mtanganyika rasmi..?
Unatafuta ubishi usio mashiko au umeshaujua ukweli lakini unajaribu kuficha ficha ?? Lukuvi kaongea SISI TANZANIA BARA TUNA JESHI

Ikiwa Tanzania bara wana jeshi jee hapo Zanzibar linafanya kitu gani ?? kama si Uvamizi ??
 

Naona unatuongezea chumvi ya rafiki ambazo labda ulisahau kutuambia. Kuna Ex Diplomat wa Ufaransa alikuwa akiishi Zanzibar pamoja na mke wake , aliuliwa nyumbani nyumbani mwake yeye na mke wake pamoja na mbwa wao na hawakuonekana zaidi ya miezi 3 , utaniambia kwa nini hawakupiga kelele wala mbwa kubweka .Mpaka ulipofanywa uchunguzi ndio ikagundulikana kuwa waliuliwa na kutumbukizwa kisimani
 

KIMBIA LAKINI KAONGEA HIVI

Lukuvi kaongea SISI TANZANIA BARA TUNA JESHI maneno hayo anaiambia ZANZIBAR


Maneno haya uliyoandika , mimi sijayasema , unanipakazia


" Watanganyika wote ni wavamizi wa zanzibar kwa sababu eti amesema mtu fulani wa serikali maneno hayo?"
 
KIMBIA LAKINI KAONGEA HIVI

Lukuvi kaongea SISI TANZANIA BARA TUNA JESHI
Hujanijibu nilichouliza..

Nani anawalazimisha wazenji kuwa watanganyika...?

Kusema kwake tanzania bara tuna jeshi ina maana wewe unawajumuisha watanganyika wote mpaka wale wasiokuwa na mamlaka na chochote serikalini wewe unawajumuisha ni katika wavamizi...?

Kati ya jeshi wa tanzania bara na raia wa tanzania bara wepi wanakuja kuvamia zanzibar...?

Mpaka mimi niliekuja zanzibar kwa shughuli za uvuvi naivamia zanzibar sio...?

Ili uwe mtanganyika uwe una sifa zipi na tabia zipi kiasi kwamba ifike hatua isemwe kwamba huyu sasa ni mtanganyika rasmi..?
 
Bado hoja yako haikanushi kujiuwa kwa huyo jamaa kwa sababu mazingira kabla ya kujinyonga yapo wazi.

1.rafiki yake ambae alimhairisha siku wasipige stori na akasema hayuko sawa.

Je hapo ina maana alijua kuna watu wanakuja kumuuwa hivyo akawaandalia mazingira mazuri wampate kirahisi...?

Na ushahhidi wa rafiki yake upo kwa sababu alipigiwa simu.

Unaweza kuelewa ni kipi kilimsumbua siku hiyo mpaka akaghairisha stori na rafiki yake...?

Wewe ni mkabila mchafu ambae unastahiki kurudoshwa katika zama za ujaahiliyya.

Huko ndo unakostahiki kuwepo,sio katika jamii ya watu wastaarabu.
 
Mkuu hilo mama ni jinga ni la kupuuzwa,nilikuwa namheshimu ila saivi namchukulia ni kama victim flani.
Faiza ukisoma hilo unaloita andiko kuna habari iliyothibitishwa hapo hata na familia? Au nawe unaingia ktk mkumbo waa kusikia sikia?
 


Haya unayasema wewe kwa chuki zako

Nani anawalazimisha wazenji kuwa watanganyika...?

Kusema kwake tanzania bara tuna jeshi ina maana wewe unawajumuisha watanganyika wote mpaka wale wasiokuwa na mamlaka na chochote serikalini wewe unawajumuisha ni katika wavamizi...?

Kati ya jeshi wa tanzania bara na raia wa tanzania bara wepi wanakuja kuvamia zanzibar...?

Mpaka mimi niliekuja zanzibar kwa shughuli za uvuvi naivamia zanzibar sio...?

Ili uwe mtanganyika uwe una sifa zipi na tabia zipi kiasi kwamba ifike hatua isemwe kwamba huyu sasa ni mtanganyika rasmi..?


Mimi naongelea nini Lukuvi alichokisema wakati akimwakilisha Waziri Mkuu kanisani, na wewe yaelekea umeweka pamba masikioni m hutaki kusikia

Lukuvi amesema wazi kuwa TANZANIA BARA INA JESHI , sasa ikiwa anawaambia wazanzibari hapo utatafsiri mwenyewe haki hiyo unayo


Zaidi ya Yote watanganyika , wakenya na watu wa mataifa mengine wapo kabla ya uvamizi wa Januari 1964 na hakuna mtu aliyesema au kuthubutu kuwaita wavamizi.

Mimi ninapoongea wavamizi nakusudia mamlaka ya Tanganyika

Laanatullahi Nyerere aliivamia Zanzibar Januari 12 , 1964 na kumkamata Waziri Mkuu wake MUHAMMED SHAMTE aliyechaguliwa na wananchi , PAMOJA NA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI NA KUWAPELEKA KATIKA MAJELA YA TANGANYIKA, bila kuwafikisha mahakamani , hiyo hiyo Januari 1964.

Wakati wako jela Tanganyika mwezi wa Aprili tarehe 26 tukatangaziwa kuwa kuna muungano umezaliwa umepewa jina Tanzania. JEE HUO KAMA SI UVAMIZI TUITE KITU GANI ????
 


HEEEEEE KUMBE SIKU HIZI WAVUVI KUTOKA TANGANYIKA WANAJUA MPAKA MARAFIKI WA WAKUU WA POLISI WALIOKO ZANZIBAR, MAENDELEO
 
Sipingani na mtizamo wako...

Labda mtoa mada ameelemea upande mmoja zaidi ila angalia pointi!
Wameshuhudia watu wa familia yake na wakasema walivyomuona kafungwa kamba mikono .hii ilikuwa kabla ya wewe kushuhudia na kuja kukanusha kwa uhakika!
Nadhani na wewe ni mmoja wa waliosikia...

Siungi mkono yote aliyosema mtoa mada ila na siko upande wowote na sitaki kubishana ila ukweli upo wazi...
Kwa mengi tu...
La muhimu ni kutoa vile vinavyotatiza... mengine ni dana dana!
Watanganyika zenj wapo wengi na .. ni vyema maana nchi ni moja.hata wapemba bara wapo wengi sana tu!
Muelewe mtoa mada kamaanisha nini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…