Nani alisafiria nyota ya mwenzie kati ya CHADEMA na E.N. Lowassa kwenye uchaguzi wa 2015?

mechard Rwizile

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
1,571
873
Zipo hija mbili zinazopingana, hoja moja inasema CHADEMA wamenufaika sana na ujio wa Lowasa kuwa mgombea wake. Na wapo wanaosema kuwa sio kweli ila Lowasa alisafiria nyota ya CHADEMA baada ya kukatwa na CCM. Nini maoni yako?

Majadiliano yawe ya kisayansi na tuachane na ushabiki wa aina yeyote.
 
Upepo wa lowasa umeinufaisha cdm ,kwa kuweza kufadhili kampeni kuanzia udiwani hadi ubunge ,
 
Kura alizopata lowasa 6 ,nyingi zitoka kwa wanasisiem mbalimbali waliokuwa wanamunga mkono jamaa ,elewa had hivyo
 
Zipo hija mbili zinazopingana, hoja moja inasema CHADEMA wamenufaika sana na ujio wa Lowasa kuwa mgombea wake. Na wapo wanaosema kuwa sio kweli ila Lowasa alisafiria nyota ya CHADEMA baada ya kukatwa na CCM. Nini maoni yako?

Majadiliano yawe ya kisayansi na tuachane na ushabiki wa aina yeyote.
 
Zipo hija mbili zinazopingana, hoja moja inasema CHADEMA wamenufaika sana na ujio wa Lowasa kuwa mgombea wake. Na wapo wanaosema kuwa sio kweli ila Lowasa alisafiria nyota ya CHADEMA baada ya kukatwa na CCM. Nini maoni yako?

Majadiliano yawe ya kisayansi na tuachane na ushabiki wa aina yeyote.
 
NGUMU KUMEZA? Sehemu zote mbili zilitegemeana.Mfano ENL angeenda ACT au TADEA nyomi hiyo angeipata kweli? Kaka yangu aliyekimbia Upadri kutokana na kupenda vidosho,alipoondoka mwishoni mwa Julai 2015 nilijua CHADEMA ataivurunga wewe mwenyewe uliona.Lakini kikubwa kilishanenwa na wazee wetu,UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU au pia KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA.Umoja wa UKAWA ndiyo nyota sahihi aliyotembelea EL.Mungu ibariki UKAWA Mungu wabariki Maalimu Seif,Comredi James Mbatia,Marehemu Makaidi na Kamanda Jasiri Mbowe hakika kuvumiliana licha ya mbinu chafu za Watawala mulichakifanya mwaka 2015 Mungu na Watanzania wote wanawa SALUTE.Hiyo ndiyo nyota ya ukweli waliotembelea EL na Maalimu SEIF.Pamoja na ubabaishaji wa Tume za Uchanguzi una habari Rais wa Jamhuri ya Tanzania upande wa Zanzibar ni Edward Lowasa kwa Zanzibar kama asingekuwa JECHA Rais wa sanduku la kura ni Maalimu SEIF,UMOJA NI NGUVU TUSIUDHARAU tunahitaji tume HURU kwa kizazi hiki.
 
Hapa kila upande ulisafiria nyota ya mwenzake kwa namna moja au nyingine......lakini naweza kusema wote hao nyota yao kubwa ilikuwa kitu kinaitwa UKAWA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom