Nani aligundua shule/elimu?

Nani aligundua shule/elimu?

ABEMMANUEL

Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
14
Reaction score
0
Wanajukwaa naomba msaada kwamba nani aliyeanzisha shule au elmu hapa dunian?
 
Tafuta kwanza maana ya "elimu" halafu itakuwa rahisi kujua aliyeianzisha.

Wakati huo uwe unakumbuka kuwa, "Binadamu wote tumezaliwa tukiwa na 'hamu' au hali ya kutaka 'kujua'."
 
Mkuu, elimu ni tofauti na shule, fahamu hilo kwanza. Elimu ni mchakato wowote wa kupeana maarifa, bila kujali ni nani anayekupa na ni kwa namna gani lakini shule ni eneo/mahali/muktadha rasmi ambako elimu ya aina fulani hutolewa.

Kama tunalenga ugunduzi wa elimu kama maarifa, lazima tuanze na ustaarabu na mwanadamu kwanza... Ya shule sifahamu!
 
Back
Top Bottom