NANGU ATUA SIMBA KUTOKA JKT

NANGU ATUA SIMBA KUTOKA JKT

Mributz

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
257
Reaction score
629
🚨 π”π¬πšπ£π’π₯𝐒 π”π¦πžπ€πšπ¦π’π₯𝐒𝐀𝐚:

Wilson Nangu (22) amejiunga na Simba SC kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea JKT Tanzania. πŸ‡ΉπŸ‡Ώβœ¨

Kijana huyu mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam leo kwa ajili ya utambulisho rasmi.

Atavaa jezi namba 31 akiwa na Wekundu wa Msimbazi! πŸ”΄βšͺ

Mashabiki wa Simba mna maoni gani juu ya usajili huu mpya? πŸ˜€

©️ Micky Jnr African Football Journalist
 
Huyu dogo alikuwa na kiwango kizuri mno siku Ile na Yanga shida yake ni kiwango Cha kupanda na kushuka
Ni aina ya bacca ila yeye aeriel ball hawezi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom