Nanawa mikono.

Nanawa mikono.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Serikali imemthibiti Askofu Gwajima ili amani iweze kudumishwa katika nchi yetu.

Lakini wanaibuka watu wengine wanaongea kama alivyosema Gwajima.

Rais Samia anafananishwa na Iddi Amin Dadah. Rais Samia anafananishwa na viongozi wengi makatili.

Hata UN na White House wanaitilia mashtaka dhamira ya CCM kuwatumikia Watanzania.

Sijui kama CCM itakubali hizo accusations.
 
Yezebeli mkuu WA mapepo .


Madam Juha .

Mtanzania pekee asiyetaka kuzungumiza banned tulizopewa ulaya na marekani.
 
Back
Top Bottom