NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,739
Kongolee kwa bwana mdogo Clement Mzize kwa kiwango kizuri alichokionesha hakika huyu ndiye Mrithi wa John Bocco the living legend.
Katika mchezo wa Dabi katika yale magoli matano Basi bwana mdogo kahusika katika magoli mawili (assist).
Hii NI moja ya supersub Bora kabisa aliyoiingiza Master Gamond na ilikwenda kumlipa vyema.
Goli alilofunga Nzengeli lilitoka kwa Mzize na Goli alilofunga Azizi ki lilitoka kwa bwana mdogo Clement Mzize.
Pressing yake na kupungua kwa presha/papara anapokua golini bwana mdogo Clement Mzize hakika namuona mbali na ninatoa kongolee kwake.
Katika mchezo wa Dabi katika yale magoli matano Basi bwana mdogo kahusika katika magoli mawili (assist).
Hii NI moja ya supersub Bora kabisa aliyoiingiza Master Gamond na ilikwenda kumlipa vyema.
Goli alilofunga Nzengeli lilitoka kwa Mzize na Goli alilofunga Azizi ki lilitoka kwa bwana mdogo Clement Mzize.
Pressing yake na kupungua kwa presha/papara anapokua golini bwana mdogo Clement Mzize hakika namuona mbali na ninatoa kongolee kwake.