Namtafuta Stephen Victor Mbwambo

Namtafuta Stephen Victor Mbwambo

chicco

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
748
Reaction score
254
Habari za humu jamvini wakuu.

I hope mko poa. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu namtafuta Stephen Mbwambo, nimepotezana nae miaka ya 80 mwishoni. Aliwahi kuwa mwajiriwa wa Shirika la Posta na aliwahi kufanya kazi huko Turiani Morogoro na pia Morogoro mjini.

Sifahamu kilichoendelea zaidi kwani sikuwahi kuwasiliana nae tena. Kwahiyo kama kuna mdau yeyote humu ndani ambaye anaweza kunipatia au kunitafutia habari za huyu ninayemtafuta nitashukuru sana. Tulikuwa tunaishi wote Turiani na kwa sasa ninahitaji sana kujua habari zake.

Natanguliza shukrani.
 
Wadau bado kimya hakuna mwenye taarifa zake?bado naamini nitapata taarifa zinazomuhusu,au labda ushauri wa wapi naweza kuzipata.
 
Kuna mshikaji nilisoma naye O_level morogoro educare anaitwa Alex Mbambo,cdhani kama wanafahamiana na huyo uliyemuulizia
 
Tafuta namba ya hio posta office ya Turiani morogoro ukiipata piga. Nadhani kutakuwa na mtu japo mmoja anayo contact yake. Jaribu ku Google hio namba ya posta.
 
Tafuta namba ya hio posta office ya Turiani morogoro ukiipata piga. Nadhani kutakuwa na mtu japo mmoja anayo contact yake. Jaribu ku Google hio namba ya posta.
asante mkuu ushauri mzuri naneda kuufanyia kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom