Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Namtafuta rafiki yangu wa kitambo hicho!Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 2004 Arusha,Jina anaitwa Isaya Peter Makuluga au (Godi) kama upo hapa jamii forum njoo PM rafiki yangu nikupe mchongo
Poa mkuuPasipo na shaka atakutafuta,kila la heri mkuu!

Kwenye ile list nimekuta jina lako limerudiwa zaidi ya Mara kumi mkuu!Usiwaze mkuu jarbu kufatiria ile list ya makonda na dudu baya uta mpata tu..![]()










ngoja nka hakikishe
Kwenye ile list nimekuta jina lako limerudiwa zaidi ya Mara kumi mkuu!![]()
@maxencemelokungekuwa na jukwaa la "search and found" humu jamii forum, asee kungejaa member wengi sana humu, hasa sio kutafutana kienyeji hsa mtu utajuajeunatafutwa jukwaa lipi?