Enoc jophrey
Member
- Apr 28, 2015
- 24
- 5
Mbona unanipa wasiwasi?:wacko:.........Katika maisha tunaishi wote kama ndugu,haijalishi mmetoka ukoo mmoja,familia au hata taifa moja,lakini wote tunapokutana mahali tunajikuta tukiwa kama ndugu wamoja.
Nimeishi pekee kwa muda sasa nikiwa mwenyewe,kila nikiona na kusikia wenzangu wakiita na kujivunia kaka zao roho imekuwa ikiniuma sana.
Natamani nipate na mimi kaka nitakaye mjali na kumuheshimu kama kaka yangu wa damu,naye aniongoze na kunithamini kama mdogo wake, furaha yangu itatimia zaidi.
Kwa atakayekuwa tayari karibu sana 0686 87 18 87 Whatsap
Nina langu in Enoc Jophrey
Katika maisha tunaishi wote kama ndugu,haijalishi mmetoka ukoo mmoja,familia au hata taifa moja,lakini wote tunapokutana mahali tunajikuta tukiwa kama ndugu wamoja.
Nimeishi pekee kwa muda sasa nikiwa mwenyewe,kila nikiona na kusikia wenzangu wakiita na kujivunia kaka zao roho imekuwa ikiniuma sana.
Natamani nipate na mimi kaka nitakaye mjali na kumuheshimu kama kaka yangu wa damu,naye aniongoze na kunithamini kama mdogo wake, furaha yangu itatimia zaidi.
Kwa atakayekuwa tayari karibu sana 0686 87 18 87 Whatsap
Nina langu in Enoc Jophrey
na wengine kuangalia watamfaidi vipiwho cares¿.....uko watsap watakuja kukuchungulia tu..then wabakupotezea ingekuwa nch za magharib mngeweza hata kuapa mahakaman kuwa ni ndugu wa hiar na mkaish km ndugu