Namshukuru mungu nimeitwa kazini

Namshukuru mungu nimeitwa kazini

Humalizi mwezi utaacha kazi hiyo..utazurura mjini kufuatilia marejesho ya mikopo mpaka soli itaisha
 
Humalizi mwezi utaacha kazi hiyo..utazurura mjini kufuatilia marejesho ya mikopo mpaka soli itaisha

Ulitaka afanye kazi gani mkuu,au hujui kwamba ajira ni Ngumu
 
Mwanzo mgumu kikubwa ni uvumilivu huku unakuwa unaangalia plan B kama mambo yatakuwa mabaya, something is better than nothing
 
Kafanye kazi kwa bidii na ufanisi
 
Hongera, ufanye kazi kwa bidii, kila kazi inachangamoto zake never give up.
 
Hongera kila la heri,wapendwa wa Jf watakutia moyo ila wafuasi wa shetani watakukatisha tamaa
 
Hongera kwa kupata coupon ya kukopesheka kibandani kwa Mangi au Muha,jipange sasa.
 
Tataizo vijana tunataka tuanzie kiyoyozi,sio sawa hata kdg.
Nakushauri utumie sehemu hiyo kujifunza kazi na uwe competentma na experience nzuri kazini baada ya hapo utakuwa umeongeza soko lako.
Kawaida ya benki ni kuwa mwaminifu na competent na ukikaaa muda wa kutosha na ukaona uwezo upo vzr ila maslahi kiduchu hama benki na nakuhakikishia mshahara wako utapanda kwa 60%+ iwapo utakuwa umekaa
hapo miaka 2+....na hivyo ndivyo mishahara hupanda.
Kuwa mvumilivu na equity bank mie nawafahamu ingawa sijafanya kazi hapo ila ni service provider wao kwenye ushauri elekezi ya uthamini kwa ajili ya mikopo na ninaijua hiyo tangu walipoanza mchakato mpaka leo.
Kuna waliofanya vzr hapo na kuna walioharibu pia cha muhimu ni kuelewa kuwa sio kazi nyepesi na usitarajie wepesi labda kama wamekuchomoa kutoka sehemu nyingine kwa sababu ya experience yako.
Kazi njema
 
hongera na mpe shukrani za pekee mwenyezi mungu kwa kukufanikishia hilo,kikubwa fanya kazi kwa bidii,uaminifu na siku zote usimsahau mungu na uwafanyie wema wazazi wawili,ahsante
 
Hongera mzee nenda songa mbele nasi utuombee tupate kazi,usikatishwe tamaa na huyo jamaa hapo juu,unajua nn wengne hawapend mafanikio ya wenzao wengi wape!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom