Utakuwa unamtamani zaidi, ingekuwa kweli unampenda isingekupa shida kuwa umenyimwa penzi.
sasa mwaka tu unaanza kulalama watu wanasubiri five years! kumpenda mtu sio ku do tu..
Wana jf m nipo katika uhusiano na huyu mpenz sasa unaenda mwaka, tatizo lake n moja tu hatak kunipa penz.,kila nikimuambie kuhusu inshu hyo ya kuduu.' tunazinguana sana mashart anayonipa mi kama siyaelewi kabisa hiv utamsubiria mwanamke miaka nane bila kuduu hapa si napigwa changa tu ndugu sana..
Little Angel mzima ww?
hello Maprosoo mi mzima. am so hap kuona ile kitu yet haipo. thank you sana
Hahahahaha .......... poa poa,nafurahi kuckia hivyo, ila mbona hujanisifia handsome?
Hujamfanya akutrust yet..slow down..
hahaha...sumu yake sio kali bana hadi dada hajafa hajaoza bado anahema.,.ebu mpe maufundi uyu braza etu... nyie mnapenda kudanganya ndio mnaelewaga.. thi ndio eeh