Nampenda sana mpenzi wangu

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,160
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?
 
Ana haki ya kuwa na wivu coz anakupenda nawe jitahid kuwa muwazi
 
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?
Dogo,
Angalia humo kwenye bluu~
Huku si kupenda sasa ni matatizo!
Nyie ndio mnapata heart attack mkitemwa baadae!
Mapenzi ni hatua, nenda taratibu...Ukiyaendea pupa mapenzi yanaua!
 
tena kuwa mwangalifu coz kama hamjaoona anakuwa na wivu mkioona hata ndani hutatoka, ningekushauru uwe wazi kwa kila ufanyalo ili kumuondolea wasiwasi, isitoshe usifanye kitu chochote kwa kuigiza, anatakiwa akujue in out.
 
Dogo,
Angalia humo kwenye bluu~
Huku si kupenda sasa ni matatizo!
Nyie ndio mnapata heart attack mkitemwa baadae!
Mapenzi ni hatua, nenda taratibu...Ukiyaendea pupa mapenzi yanaua!

na kweli tukiachana nitakufa kabisa sasa ndo ishatokea kupunguza upendo haiwezekani tena
 
tena kuwa mwangalifu coz kama hamjaoona anakuwa na wivu mkioona hata ndani hutatoka, ningekushauru uwe wazi kwa kila ufanyalo ili kumuondolea wasiwasi, isitoshe usifanye kitu chochote kwa kuigiza, anatakiwa akujue in out.

roger that,nitafanya hvyo nampenda sana laazizi wangu
 
kazi uzi, endelea kumpenda. Huko mbeleni atakuja kujuwa kuwa unampenda. Wivu ni kitu cha kawaida ktk mapenzi, hususan linapokuwa penzi ni jipya! no worries, songa mbele.
 
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?

Tukusaidie kumpenda?
 
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?

tembea na mdogo wake ili atie akili
 
kazi uzi, endelea kumpenda. Huko mbeleni atakuja kujuwa kuwa unampenda. Wivu ni kitu cha kawaida ktk mapenzi, hususan linapokuwa penzi ni jipya! no worries, songa mbele.

ahsante sana ndugu yangu umenisaidia sana
 
umesema unampenda kuliko chochote, mbona tembo card htk kumpa? Mpe kadi zako zt za bank hapo atakuamini.
 
Back
Top Bottom