Watu hatufanani babuKiukweli hata mimi mpaka sasa sijaamini nachokisoma hapa...
Mtu anakasirika kwa kuwa mpenzi wake kaanzishiwa thread... yani kakasirika kiasi cha kucancel date...
Binti kapagawa kiasi cha kuachia matusi ya kutosha...
Mara mkasirikaji anaibuka kivingine kabisa... yani kama ishu ilikuwa ndogo, kwa namna navyomsoma.
Na mleta mada anapotea mazima!!
Very interesting!!
Nimeshashuhudia couple nyingi sana hapa JF. Wengine wameshaoana na wana familia zao. Ila hii nimeivulia kofia.
Mleta uzi ndiyo analeta mambo ya facebook JF... Na baadhi ya member wengi kibao tu humu... mahondaw had been in JF muda mrefu sana... No one care about her presence... She got Smart911 kila mtu anajifanya kumjua sana... Mara ana data zake... Mara hivi...
Niseme tu umenikosha Eli...Smart911, naamini umekuwa sasa. Kama kweli unaenda kumvisha huyo mdada pete, umekuwa na pongezi.
One thing though, penzi lako lifanye private, najua penzi jipya lina raha yake lakini hivi mnavyoenda, you'll ruin everything. Huyo mkeo mtarajiwa lazima atongozwe, mengine utajua lakini mengine hutajua, ili kuepusha matatizo jaribu kuyafanya mapenzi yenu yawe yenu na sio public. Sio kazi rahisi ku-maintain mapenzi yaliyo public, uliza Beckham, Tiger woods etc watakuambia.
Kila la kheri katika maisha ya uchumba, hapo shetani ndio anaanza kazi, mtapata kila jaribu ili tu kuwatenganisha. Lakini ni nyie tu ndio wenye maamuzi ya mwisho.
Wekeni mahusiano yenu nje ya jf.
Kwetu tumetumwa hela tu Eli. Hayo mengine kama chachandu tu[emoji85]Salale, umekuwa miss chagga tangu lini mrembo?
Wanasema yeye ni Fortune Mongi...Kwani hiyo pic aliyoweka ni wewe kweli tupia nyingine kama mbili tuone au mnatengeneza janja ya utapeli tuone kama wewe na mleta Uzi mna bifu kumbe ni janja ya biashara matangazo mana utapeli umekua mwingi sana mitandaoni
Usinifanyie hivyo vale!!Kwetu tumetumwa hela tu Eli. Hayo mengine kama chachandu tu[emoji85]
Hapo Blue: Ni kweli Mahondaw ni wa siku nyingi... Ila mleta mada kajiunga JF January mwaka huu. Miezi mitatu kwake ilimtosha kumsoma Mahondaw na kuvutiwa naye...Hii thread haijaletwa na mtu wa Siku nyingi JF, usisahau.Mleta uzi ndiyo analeta mambo ya facebook JF... Na baadhi ya member wengi kibao tu humu... mahondaw had been in JF muda mrefu sana... No one care about her presence... She got Smart911 kila mtu anajifanya kumjua sana... Mara ana data zake... Mara hivi...
Kwa mimi binafsi naona kawaida sana... Ila kwa mahondaw inaamumiza sana... Ndiyo maana inabidi niongee...
Cc: mahondaw
You have a point... Nikibisha nitakuwa jeuri na sipo hivyo... But nothing intense have been public kabisa... Hakuna picha za mitoko tumeweka, hakuna picha za vyakula tunavyokula, hakuna picha za nini tunafaya... What we are showing here ni kidogo sana sana... But tuna mengi sana ambayo kamwe hayawezi kupatikana popote pale...Smart911, naamini umekuwa sasa. Kama kweli unaenda kumvisha huyo mdada pete, umekuwa na pongezi.
One thing though, penzi lako lifanye private, najua penzi jipya lina raha yake lakini hivi mnavyoenda, you'll ruin everything. Huyo mkeo mtarajiwa lazima atongozwe, mengine utajua lakini mengine hutajua, ili kuepusha matatizo jaribu kuyafanya mapenzi yenu yawe yenu na sio public. Sio kazi rahisi ku-maintain mapenzi yaliyo public, uliza Beckham, Tiger woods etc watakuambia.
Kila la kheri katika maisha ya uchumba, hapo shetani ndio anaanza kazi, mtapata kila jaribu ili tu kuwatenganisha. Lakini ni nyie tu ndio wenye maamuzi ya mwisho.
Wekeni mahusiano yenu nje ya jf.
Nipe muda nikufikirie hebuUsinifanyie hivyo vale!!
Uko sahihi kabisa... ukijiona mwenye moyo mwepesi basi mnafanya maamuzi magumu kama walivyofanya wengine. Mnabadili IDs au mnasepa kabisa JF ili wanajamii wasivuruge penzi lenu.Watu hatufanani babu
Wapo ambao ni easy kupotezea na kuchukulia positive way
Wapo ambao ni sensitive kwa mambo hayo easy to panic...
Sio wote wenye mioyo migumu na sio wote wenye mioyo mepesi...
Ila ni vema watu tukajifunza kupotezea,hasa katika mahusiano yabidi kua muelewa vinginevo bp za mara kwamara hazitatuacha.
Sijakusoma mana wengine mambo ya majungu atufuatilii mana hapa nasikia wolpa sijui nn[emoji10] [emoji10] nifafanulie sijaelewa ulicho niandikiaWanasema yeye ni Fortune Mongi...
Hamna Dogo ndo anaanza... Nadhan kapata mchaga ndo kachanganyikiwa Anajua ataibiwa HhhUko sahihi kabisa... ukijiona mwenye moyo mwepesi basi mnafanya maamuzi magumu kama walivyofanya wengine. Mnabadili IDs au mnasepa kabisa JF ili wanajamii wasivuruge penzi lenu.
Sie wengine tushazoea utani, tunajitongozea kila binti kimatani. Sasa kama mtu ana moyo mwepesi si anaweza kupasua screen bure kwa sababu tu matongozano na matani???
Mkuu Kama Umesoma humu member mmoja kaandika anaitwa Fortune Mongi sijuw nae kaona Fb... Jf inaelekea kuangamia watu wa fb wanaanza kuharibu jfSijakusoma mana wengine mambo ya majungu atufuatilii mana hapa nasikia wolpa sijui nn[emoji10] [emoji10] nifafanulie sijaelewa ulicho niandikia
Nilikasirika yes.. But as i said.. Siwekagi vitu rohoni kwa muda mrefu... Nina tabia ya kusamehe mapema tu.. Na kuchukulia vitu okay... Vishatokea hata nikasirike mwaka mzima it wont change a thing...Hapo Blue: Ni kweli Mahondaw ni wa siku nyingi... Ila mleta mada kajiunga JF January mwaka huu. Miezi mitatu kwake ilimtosha kumsoma Mahondaw na kuvutiwa naye...Hii thread haijaletwa na mtu wa Siku nyingi JF, usisahau.
Hapo red hapo ndo unazidi kuchanganya madawa... Kwa mujibu wa bibie ni kwamba ulikasirika... na wewe pia umethibitisha ulikasirika mpaka ukacancel date.... inakuwaje hivi sasa unasema ulichukulia kawaida ilhali kukasirika kwako ndo kumemfanya bibie achanganyikiwe??
Hii kiboko... Kumbe ulikuwa JF na ulikuwa unapata PM lakini notification za Mahondaw wakati anaku-mention ukawa huzioni?? Maana tangu mwanzo kabisa watu kibao walikuwa wnakutag uje umpooze bibie lakini hukutokezea...Nilikasirika yes.. But as i said.. Siwekagi vitu rohoni kwa muda mrefu... Nina tabia ya kusamehe mapema tu.. Na kuchukulia vitu okay... Vishatokea hata nikasirike mwaka mzima it wont change a thing...
Hata sikuwa na najua about the thread kwanza... Ila pm nilizopata ni nyingi zikiniita kwenye hiyo thread... Hata kuna mahala nilikuwa na comment kuna member anaitwa lucky dube kama sijakosea akani quote na title ya hiyo thread...
Cc: mahondaw
Sasa babu mimi nawe tukiwa couple humu afu tubadili I'd Jf watutujuaje? Sie tusibadili I'd bana [emoji6]Uko sahihi kabisa... ukijiona mwenye moyo mwepesi basi mnafanya maamuzi magumu kama walivyofanya wengine. Mnabadili IDs au mnasepa kabisa JF ili wanajamii wasivuruge penzi lenu.
Sie wengine tushazoea utani, tunajitongozea kila binti kimatani. Sasa kama mtu ana moyo mwepesi si anaweza kupasua screen bure kwa sababu tu matongozano na matani???
Kuna mida notification JF zinachelewa sana au haziji kabisa mpaka uingie kwenye alerts au notification... Ndiyo unakuta kibao...Hii kiboko... Kumbe ulikuwa JF na ulikuwa unapata PM lakini notification za Mahondaw wakati anaku-mention ukawa huzioni?? Maana tangu mwanzo kabisa watu kibao walikuwa wnakutag uje umpooze bibie lakini hukutokezea...
Anyway, cha msingi ni kujifunza kutokana na makosa. Yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
Kila la Kheri.
Hahahahaha kumbe ishu ni "watu kujua"??Sasa babu mimi nawe tukiwa couple humu afu tubadili I'd Jf watutujuaje? Sie tusibadili I'd bana [emoji6]