nampenda sana ila....

nampenda sana ila....

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
jamani kaka na dada zangu..huyu msichana nampenda sana ila kila mara tunakosana..najaribu sometimes kukubali kosa na hata kuomba radhi but mh! hata kama nampenda sana naona mimi sio chaguo lake..nabebembeleza kila siku am tired wakuu nimesema basi basi basiii..hata kama una uzuri wa malaika ila usinifanyie ivo...tunaambiwa wanawake ni 75% ya watu duniani right? nitapata mwingine......
 
AAAhhhhhh bana Kongosho,he is just releasing his tensions...... utafiti go on bana......au alikua mmachame???:A S 39:

no sio wahuko mkuu
ila hivi videmu havipendeki kabisaaaa...hakula anachokosa ila basi tu
 
Last edited by a moderator:
"dont fall in love with a dreamer"-Kenny Rogers
 
To love somebody not guarantee to be loved by somebody. if somebody not loving u find another somebody.
 
naomba msaada wakumsahau mwanamke niliekua nampenda sana wakuu....sometimes natamani ninywe pombe ila maadili, dini inanikataza
 
we mwache fanya mambo mengine, usije ukafanya kosa la kuweka ndani hiyo ngoma itapasuka aisee..

mapenzi hayalazimishwi jibu ni kwamba HAKUPENDI unalazimisha mchezo tu. ushauri tu
 
Pole..Inauma sana ukimpenda mtu asiekujali au asiyeonesha efforts za kukupenda even half way through!!I know what your going through...Jaribu kumsahau najua unaweza..Fanya mambo mengine jichanganye na watu jikeep busy!!!
 
Pole..Inauma sana ukimpenda mtu asiekujali au asiyeonesha efforts za kukupenda even half way through!!I know what your going through...Jaribu kumsahau najua unaweza..Fanya mambo mengine jichanganye na watu jikeep busy!!!

asante mama ila ongea na wenzako kidogo ata wapretend...
 
Sasa unalalamika nini kama umeshaamua kufanya maamuzi ya kumuacha? Mtoto wa kiume acha kulialia, ungekuwa jirani ningekupiga risasi ya kidevu!
 
Sasa unalalamika nini kama umeshaamua kufanya maamuzi ya kumuacha? Mtoto wa kiume acha kulialia, ungekuwa jirani ningekupiga risasi ya kidevu!

kaka ushawahi kupenda? not kutamani u know? utalia kama mtoto wallah
 
asante mama ila ongea na wenzako kidogo ata wapretend...
Bora huyo mkweli ndugu yangu kuliko pretender yaani anakurahisishia na kukupunguzia maumivu....Ni worse feeling mtu akwambie anakupenda ikisha hamaanishi...ukweli unauma lakini ndio life...You will get over it soon...
 
If you do evrthn to make her uas still she cnt see t juz let her go yupo mwngne kwa ajili ako dn worry
 
i know cku moja nitamsahau.....tena verry soon...
 
wanaume hawaombi radhi na wala kukubali makosa......hao wapo wengi, ulipokaa hapo wapo wangapi? hebu angalia vizuri wasikuumize kichwa....
 
Back
Top Bottom