jabulani2017
Member
- Mar 19, 2017
- 79
- 295
Kwanza kabisa naandika haya kwa kuhitaji ushauri wenu wa dhati juu ya changamoto yangu.
Back to the topic
Iko hivii, nimekuwa na mpenzi wangu kwa takriban miaka mitano sasa, miaka minne akiwa anakuja na kuondoka mahali ninapoishi na hatimaye mwaka jana nikaamua ahamie kwangu mazima.
Changamoto yake:
Huyu mamaa amekuwa na shida ya kuwa mkavu sana during sex ambayo inapelekea yeye kukosa hamu ya sex mara nyingi tu. Sasa hili suala kwa kweli mi ndo ninakuwa muhanga mkubwa kwa kuwa sex drive yangu iko juu sana.
Yeye kuwa mkavu yes ni tatizo of which nililibeba kwa all these years kwa kusema litakaa sawa tu lakini sasa maji yameshakuwa ya shingo kidogo... sababu kubwa ni kila tukitaka kuhave sex lazima maandalizi yatumie zaidi ya 20-30 mins kuhakikisha lazima awe wet enough na pia huwaga nahakikisha anakojoa kisha mi niingie.
Shida nyingine ni pale ambapo nachelewaga kukojoa as mimi pia ni late cummer. So unaweza ukakuta tukitaka kuhave sex then kawaida ni kutumia dakika 45 hadi 50 ambayo kiukweli impelekea tuwe tunaishia kwenye bao moja kila siku kutokana na ukweli kwamba kila nikiwaza kuhave sex nae nawaza namna ya kumuandaa na muda tutakaotumia na kujikuta bao moja kwa siku ndo imekuwa desturi yetu..
Anatamani sana angekuwa tofauti ili aweze kutimiza pale ambapo panapungua sema ndo vile...Tukanunua hadi lubricant kusaidia lakini mimi si muumini wa vilainishi as napenda natural ways...
Okaaay, let me clear the air hapa...kabla ya kuwa na mahusiano nae huko nyuma nilishapita na mabinti kadha wa kadha...Lakini sikuwahi kukutana na tatizo na hakuna ambaye nilikuwa naenda nae below 2rounds. Wote ilikuwa ni 2 hadi 6 kwa ma sex freaks wenzangu.
kwa kweli inaniwia ngumu sana sana as napitia sexual starvation yani sitosheki kabisa sexually na inani affect kisaikolojia as nikiona mwanamke yoyote natamani niwe nae anitimizie mahitaji yangu sexually....Napata taabu sana psychologically and health wise na namaanisha kweli i really need help..
Hili tatizo limepelekea kupungua ama kutokuwa na hamu na mpenzi wangu kabisa, najua sio yeye alipenda kuwa hivii bali imetokea tu bahati mbaya kwake.
Bottom line is, She is the woman that i love na nataka kuishi nae for the rest of my life...
NB: Ushauri wa namna ya kulipunguza tatizo au kulimaliza kabisa tatizo unahitajika...iwe wa mitishamba ama modern medicine utatusaidia sana sana. Natanguliza shukran kwa wote, maana sisi wanaume sometimes tunakufa na mengi kwa kuwa hatuna pa kuelezea tunayopitia.
Nashukuru platform itanisaidia kupata ushauri na maoni constructive...
Back to the topic
Iko hivii, nimekuwa na mpenzi wangu kwa takriban miaka mitano sasa, miaka minne akiwa anakuja na kuondoka mahali ninapoishi na hatimaye mwaka jana nikaamua ahamie kwangu mazima.
Changamoto yake:
Huyu mamaa amekuwa na shida ya kuwa mkavu sana during sex ambayo inapelekea yeye kukosa hamu ya sex mara nyingi tu. Sasa hili suala kwa kweli mi ndo ninakuwa muhanga mkubwa kwa kuwa sex drive yangu iko juu sana.
Yeye kuwa mkavu yes ni tatizo of which nililibeba kwa all these years kwa kusema litakaa sawa tu lakini sasa maji yameshakuwa ya shingo kidogo... sababu kubwa ni kila tukitaka kuhave sex lazima maandalizi yatumie zaidi ya 20-30 mins kuhakikisha lazima awe wet enough na pia huwaga nahakikisha anakojoa kisha mi niingie.
Shida nyingine ni pale ambapo nachelewaga kukojoa as mimi pia ni late cummer. So unaweza ukakuta tukitaka kuhave sex then kawaida ni kutumia dakika 45 hadi 50 ambayo kiukweli impelekea tuwe tunaishia kwenye bao moja kila siku kutokana na ukweli kwamba kila nikiwaza kuhave sex nae nawaza namna ya kumuandaa na muda tutakaotumia na kujikuta bao moja kwa siku ndo imekuwa desturi yetu..
Anatamani sana angekuwa tofauti ili aweze kutimiza pale ambapo panapungua sema ndo vile...Tukanunua hadi lubricant kusaidia lakini mimi si muumini wa vilainishi as napenda natural ways...
Okaaay, let me clear the air hapa...kabla ya kuwa na mahusiano nae huko nyuma nilishapita na mabinti kadha wa kadha...Lakini sikuwahi kukutana na tatizo na hakuna ambaye nilikuwa naenda nae below 2rounds. Wote ilikuwa ni 2 hadi 6 kwa ma sex freaks wenzangu.
kwa kweli inaniwia ngumu sana sana as napitia sexual starvation yani sitosheki kabisa sexually na inani affect kisaikolojia as nikiona mwanamke yoyote natamani niwe nae anitimizie mahitaji yangu sexually....Napata taabu sana psychologically and health wise na namaanisha kweli i really need help..
Hili tatizo limepelekea kupungua ama kutokuwa na hamu na mpenzi wangu kabisa, najua sio yeye alipenda kuwa hivii bali imetokea tu bahati mbaya kwake.
Bottom line is, She is the woman that i love na nataka kuishi nae for the rest of my life...
NB: Ushauri wa namna ya kulipunguza tatizo au kulimaliza kabisa tatizo unahitajika...iwe wa mitishamba ama modern medicine utatusaidia sana sana. Natanguliza shukran kwa wote, maana sisi wanaume sometimes tunakufa na mengi kwa kuwa hatuna pa kuelezea tunayopitia.
Nashukuru platform itanisaidia kupata ushauri na maoni constructive...