Nampenda lakini still anacheat na ex wake

Nampenda lakini still anacheat na ex wake

Maliboro

Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
20
Reaction score
2
Wakuu nina mpenzi wangu nampenda sana lakini huwa ananicheat na kusex na ex wake ambae wanafanya nae kazi ofisi moja na kila nikimuuliza anakataa na kujifanya kununa hali inayosababisha kila wiki tugombane.Nimemvumilia vya kutosha nampenda sana ila nashindwa kuvumilia kumegewa na jamaa.Nisaidieni ushauri please
 
mhm wala usipate presha nawe tafuta mwengine ila huyo unaendelea kumgegeda tuu
 
wewe ni me au ke? Kama ni me, jiangalie vizuri tena jinsia yako ulinganishe na vitendo vyako kama vinaendana au la.
 
mkuu mzabzab asisahau pia kujiuliza swali la tupo wangapi akiachilia mbali huyo ex.
 
Last edited by a moderator:
wewe endelea kumpenda tu.sasa sijui hapo yupi ni spare tyre,wewe au mwenzio
 
pole mkuu...jaribu kuongee na uyo ex wake kama ni muelewa atakuwa hamkadamizi tena mpnz wako.
 
^^
Kupenda usipopendwa ni sawa na kutengeneza kamba kisha unaanza kuota inakuvuta kuelekea mbinguni
^^
 
Kweli uanaume mwingine kaaazi!
.. unajua mtu anakumegea na bado upo tuuuu.. damn! Kwani hiyo nonino yake ni gold!
 
Jamaa atakua anakuzidi mshiko,demu anafuata maslahi kwa mme wa mtu
 
yaani wewe ni bonge ya bazazi yaani unajua kabisa anakumegea bado unajifanya kipofu unakuja na story za kupenda hapa Endelea kumpenda, utakapo pata ngoma ndio utajua
 
Wakuu nina mpenzi wangu nampenda sana lakini huwa ananicheat na kusex na ex wake ambae wanafanya nae kazi ofisi moja na kila nikimuuliza anakataa na kujifanya kununa hali inayosababisha kila wiki tugombane.Nimemvumilia vya kutosha nampenda sana ila nashindwa kuvumilia kumegewa na jamaa.Nisaidieni ushauri please





Piga chini huyo kwani yuko tu na wewe for security reasons na si kwa mapenzi. Au la anaweza kuwa nawe kimapenzi ila usiwe unamfikisha kileleni anakuona unampotezea muda tu.
 
Hata kama unampenda usiruhusu akuchezee akili yako,kua mwanaume...ebu tafuta mpenzi mwingine mwenye heshima thn oa kabisa c kuhangaika na mtu mmoja asiyejua umuhmu wako...
 
Back
Top Bottom