Nampenda lakini nahisi Sitamuweza!!

Nampenda lakini nahisi Sitamuweza!!

Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!

We mwenye afande mwita unaonekana mayai 2.
 
yote yanafundshka kama yupo tayar kujifunza. Hakuna aliezaliwa anajua.... Ila uandishi wako mmmmh!
 
Khaa! nimeskia mkiwa mafunzoni (jeshi)
zoezi linawafanya kupoteza hisia za kimapenzi! Kama ni me, abdulrahmani hasimami kabisaaa! Kama ke, mwajuma hashuo hutuliaaa kama nö 1, afu huwa mchafuuuuu!
Awache masiara ile kozi nouma mazeeeee!
Emotions are emotions tu.....hata mkiwa wapi mnaweza kupendana tu......
 
Sasa huko JKT aliishi vipi?
kama kila kitu hawezi?

halafu huu uoga hata wa kujaribu kuona mtaishia wapi unatoka wapi?

kwani mkishindwana mkiachana kuna shida gani?

wewe ni JKT kweli?
hata hili waogopa?



Inawezekana ndoa ya KIKRISTO kumuacha haiwezekani.
 
Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!



Mkuu usiwe na kasumba ya kuoa mkeo ndo aje kuwa mfanyakazi wako maana hakuna kitabu cha dini kinachosema lazima akufulie,akupikie n.k,,,,akiamua kufanya hivyo ni yeye na si lazima.
 
Siri moja mwanamke akimpenda mwanaume watafanya kila wanaloweza ambalo liko kwenye uwezo wao kumfurahisha huyo mwenzi wake!!Kwahio kujifunza hapo ni cha mtoto kabisaa...
Ni kweli ulivyosema lakini kumbuka jasili haachi asili hayo atafanya kwa muda tu wakati ndoa iko hoti ikipoa na mambo mambo kuanza lazima atarudi kwenye hali yake tu, mwanaume anayependa mpira ukimwambia sipendi urudi usiku wakti unajua mpira huonyeshwa usiku utakuwa unaidanganya nafsi yako maana atakuridhisha kwa siku chache the rest ataendelea je hapo utakuwa umesolve tatizo? siku hizi wanawake wameweka kupika kama hobi na si wajibu kama ilivyokuwa zamani na kumbuka hobi haifundishwi ni rahisi sana kumkuta mwanamke ambaye hajui kupika,kufua hata usafi wa ndani hajui anachojua ni kuoga na kwenda salooni,na wasichana wa siku hizi wazembe kweli hata kupaka rangi kwenye kucha au ina eti hawajui wanaenda saloon mwisho wa siku unakuta una mwanamke ambaye hajui chochote zaidi ya kugegedwa maana ile huja automatic hata kama hajui style nyingi ila kifo cha mende ambayo haitaji ujuzi wowote,mwisho wa siku mtajifariji wkt mapenzi yamekorea na ndugu wanamsema et oooh mimi sijaolewa na ukoo wote wkt unajua system ya familia za afrika ni extended,wanawake wajifunze siyo zamani tu hata leo hizo zitabaki kuwa basic qualities kwa wanawake
 
Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!

Mtu umepitia JKT halafu unafikiria mambo madogo madogo kama upishi na kuosha vyombo? Taifa letu halina vijana kabisaaaaa! Waliopo ni mazezeta, nahisi ni athari ya kula sembe. Think out of box you young boy.
 
Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!

Kamanda mbona hii issue ni raisi sana...kama intec yenu uliunganishwa na vijana wenzako kwa mujibu wa 'sheria',na wewe inakubidi umpende huyo demu kwa mujibu wa sheri tu...kwani katiba inasemaje kuhusu kumpenda mtu mkiwa katika mafunzo wa kijeshi(JKT)?...
 
maka boy, Acha woga huo, huko JKT anawezaje kumudu akashindwa kwako aliekupenda??????
 
Last edited by a moderator:
JKT za siku hizi bana,watu wanaishia kuvuta bange... Na kunywa uji pamoja na Urojo ndo maana mazobaa...!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sasa huko JKT aliishi vipi?
kama kila kitu hawezi?

halafu huu uoga hata wa kujaribu kuona mtaishia wapi unatoka wapi?

kwani mkishindwana mkiachana kuna shida gani?

wewe ni JKT kweli?
hata hili waogopa?

Ha haaaa,same qn mkuu!
 
we unatafuta house girl au mke? maana kazi ya mke ni moja tu hizo nyingine ni mbwembwe
 
Back
Top Bottom