Nampenda lakini nahisi Sitamuweza!!

Nampenda lakini nahisi Sitamuweza!!

maka boy

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!
 
Huwezi kuishi nae kwa kweli.......tafuta size yako usije ukaaibika bure......kama level zimepishana ni ngumu.......
 
Mwana jf naombee mnishaur, mm nikijana ambae nilijiunga na jesh la jkt kwb upande wa kujitoleo. Naingia jeshini,ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenyetu wa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea,nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa. Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswar na kimwönekano yule bnt ni wakishua. Kwanza kupika hajui,kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kaz amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3. Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!

we jamaa ni kilaza mbaya hata kiswahili hujui kuandika,hufai hata kupewa ushauri ...stori hata haieleweki
 
Wewe mwenyewe unasema hutomweza!
Unataka ushauri ili umweze kwa lipi?
Kama unaoa kwa ajili ya kuosha vyombo, kufua, kupika, ni wazi hakufai.
Sasa jiulize unaoa kwa ajili ya nini!
 
.....1
...Mm nikijana ambae nilijiunga na jesh la jkt...
...kipindi mafunzo yanaendelea,nilitokea kumpenda mschana mmoja...
...
....2
kimwönekano yule bnt ni wakishua. Kwanza kupika hajui,kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kaz amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3. Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!

....1
Hivi mkiwa mafunzoni mnakua na hisia za kupenda? Au short course hiyo?
Khaaa! Si bure!!!!!!
Afu mtoto (ke) wa kiushua akajiunge Jeshi???????!
...
....2
Tafuta mwanamke mwengine!
 
Kwanini asiweze kwani huyo beki 3 alizaliwa akiweza kila kitu..Sidhani hio ni sababu makini ya kuachana nae..Unampenda mfundishe!!!Ataweza tu na atajifunza...
 
....1
Hivi mkiwa mafunzoni mnakua na hisia za kupenda? Au short course hiyo?
Khaaa! Si bure!!!!!!
Afu mtoto (ke) wa kiushua akajiunge Jeshi???????!
...
....2
Tafuta mwanamke mwengine!

Emotions are emotions tu.....hata mkiwa wapi mnaweza kupendana tu......
 
Mwana jf naombee mnishauri,

Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.

Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.

Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!
Huko jeshini mlikuwa mnapika, kuangalia movie na wengine wakawa na beki 3?
 
Wewe mwanaume ndio leader wa game; huna haja ya kuwa na hofu just muweke chini mueleze hisia zako then akikubali kinacho fuata ni taratibu taratibu una mbadilisha mwenendo wake.

Kama alikuwa hafanyi hiki na wewe unataka afanye, just unamfanyisha lakini mkiwa pamoja na baadae she'll get used to it na atakuwa akifanya peke yake. Uwa siwalaumu kwa wao kushindwa kazi kwa kuwa najua ni malezi tu. Huu ni ushuhuda wangu.
 
sasa wewe chakufanya inatakiwa uniambie anakopatikana ili niongee nae mawili matatu halafu nitakupa feed back kama karekebishika
 
kweli wewe mtoto wa uswazi...yaani unaamini kuna mtoto wa kishua jkt....labda hujui hata watoto wa kishua wakoje...huyo wako mvivu tu hana "ukishua wowote"
 
humwezi jibu unalo tayari unataka ushauri tena,..... ok mega basi umwache.
 
Hizo movie, kuosha vyombo, kupika na beki tatu vyote vinapatikana huko Jeshini?
 
Back
Top Bottom