maka boy
Member
- Feb 22, 2013
- 6
- 0
Mwana jf naombee mnishauri,
Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.
Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.
Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!
Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.
Sasa shida inakuja mm ni mtoto wa uswazi na kimwönekano yule binti ni wakishua. Kwanza kupika hajui, kuosha vyombo shida, kifupi hakuna kazi amboyo anaweza kama kama mwanke, yeye ni move, akichoka Kulala kilakitu bek 3.
Kiukwel nampenda lakini nahic sita mueza mnishaur naweza kuish mtu kama huyu!