Nampenda lakini hanijali

mimi49 should be okay noow..take care of yaself and the Kid...bhaaas
 
Last edited by a moderator:
wangu mi naona umechukua uwamuz mzur2 ,unachopaswa kufanya ni kufocus kwenye maisha yako na mtoto uliyenaye ,t pains i knw bt smtymz we've 2let go we cnt force smthng ts bad napia ni vbya kuanzisha mahusiano na m2 ambye haumfahamu kiundan zaid.Also m2hawez ona uthaman wko mpka atakapokukosa.u jas go on wit ur lyf give chance to dos hu r true 2u,cares 4u n'makes u hpy though dnt expect km mapenz yatakuwa smooth.
 

Attachments

  • 1383997862666.jpg
    41.2 KB · Views: 187
I am more than OK lol....Just the kid and myself...dont u think that something is still lacking?:A S 39:

well..untill when you really want/need it...it may sound a basic want/need, but u have to think outside the box as well, time will come when you will have plenty of it.......for now relax and focus on what you do best
 
mimi49 ni wewe au unamsemea mtu? niliachana na mwanamke alinionyesha tabia kama hizo. nilikua nampenda sana ila....
 
Last edited by a moderator:

Mshauri nae huyu jamaa wako wa zamani aje hapa alete utetezi wake maana si vyema kutoa maoni kwa habari za upande mmoja!

Mlete X wako hapo nae tumsikilize ahahaha
 


du! kweli mapenzi hayaeleweki, wengne wanafurahia na wengne wanaumia any way kama utaamua kuoana naye kisa unampenda na uendelee kuumia kazi kwako mana hakuna kitu cha msingi duniani zaidi ya kuwa na furaha na amani ya moyo lea mtoto wako endelea na maisha yako mana kama hajali feeling zako na ujiskii kupendwa why should you bother. maisha mafupi ati
 
sasa unampenda halafu unataka kumuacha??? Ndo nini sasa
 

Sasa ndo nimejua kwann umemtamani yule jamaa dereva. Kumbe unalove problems na mzazi mwenzio.

Kaeni chini nae muelezee unavyofkiria,alaf uone atasemaje
 


Huyo hana mapenzi na wewe. Nionavo mimi ni wewe ndo una mcheche naye na ni wewe ndo uli
tamani kuzaa naye.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…