Nampenda lakini hafahamu

Nampenda lakini hafahamu

habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

Huyo unampenda anajishughulisha na shughuli gani? Ukifahamu hilo utakuwa na uwezekano wa kuwa naye karibu, kwa mfano kama ni mfanyabiashara kanunue bidhaa zake na kutengeneza mazingira ya kuwa naye karibu utapata nafasi ya kueleza yako.
 
Nakudediketia wimbo wa maunda zoro-sijui lini itafika,ukuburudishe wewe na akina dada wengine wote wanaopenda wanaume na kusema wanashindwa...
Excel do the needful pale youtube plz Tyta picha king pliizz
 
Last edited by a moderator:
kwa nini usimwambie nina barua yako ukaandika barua ukampa kaisoma it look sexy naye ataenjoy kuona unaeleza hisia zako kuliko hii ya kurukaruka mbele yake
 
Nakudediketia wimbo wa maunda zoro-sijui lini itafika,ukuburudishe wewe na akina dada wengine wote wanaopenda wanaume na kusema wanashindwa...
Excel do the needful pale youtube plz Tyta picha king pliizz

nyimbo inaitwaje B
 
Nakudediketia wimbo wa maunda zoro-sijui lini itafika,ukuburudishe wewe na akina dada wengine wote wanaopenda wanaume na kusema wanashindwa...
Excel do the needful pale youtube plz Tyta picha king pliizz
mamii, i am here for ya!

ngoja nimchome mleta mada kwa hili songi!.. huu unamtosha kwa leo...

 
Last edited by a moderator:
Huyo unampenda anajishughulisha na shughuli gani? Ukifahamu hilo utakuwa na uwezekano wa kuwa naye karibu, kwa mfano kama ni mfanyabiashara kanunue bidhaa zake na kutengeneza mazingira ya kuwa naye karibu utapata nafasi ya kueleza yako.

Ushauri mzuri.
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

mwanamke huwa hapendi uasherati tu unakusumbua
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

acha tama....
jihuhlishe na maenele...mtuache jman m HB tijipangea masha,
khaa...lol
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?
Inaweza kuwa ngumu kwako kumtakia mwanaume waziwazi kuwa wampenda, ila waweza kumpa dalili Fulani ili azitumie kuja kwako. Kwa mfano, unapokutana naye hakikisha anakutazama kisha mpe tabasamu saafi kabla ya kumsalimia. Fanya hivi mara kadhaa kila ukutanapo naye. Hilo tabasamu litampa ujumbe na ipo siku atakusimamisha na kuzungumza nawe kirefu. Hapo utakuwa umeshamnasa dadaaa!Ila chunga sana usije ukamtakia 'mshikaji, nakupenda ile mbaya!'
 
Jamani washauri wengine !!!
Dada yangu ukimtongoza km nifahamuvyo wanaume wa Africa itakuwa shidaaa..Tamaduni zetu hazijaturuhusu...Usimtongoze ila mpe signs tuu ukiona na penda kuwa karibu nae mara kwa mara bado hajileti jua hakupendi wala mshipa wa kucha haumchezi kuhusu wewe...Usiumie nafsi pengine si wako huyo utapata mwingine utimue zako....Utajampenda mwingine...

Tatizo penzi la kulazimisha hasa kwa wanaume ni taabu ....atakufanya ulie na mito kitandani hadi ukome...
 
Back
Top Bottom