Nampenda lakini hafahamu

Nampenda lakini hafahamu

ZASHI

Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
10
Reaction score
4
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?
 
Unajua ZASHI ata mimi nakupenda siku nyingi ila kukwambia nashindwa???
 
Last edited by a moderator:
Usiusemee moyo,mwambie lakini kwanza jipange na roho yako,na uwe tayari nalolote,inawezekana kua kaoa, aanaweza kua na mchumba,inawezekana pia akawa sio mwanamme kamilii,sasa basi piga Moyo konde eleza lako la rohoni,kohoa utema ulokua nalo useme......
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

mnunulie Vitz
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

muoneshe 'signals' aka mtege asiposhtuka si riziki move on.
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

mFAFANUE YAWEZEKANA YUPO HUMU AKAANZA KUKUSALILIA
 
...i know a certain lady alimpenda sana kijana na akalazimisha kwa kila mbinu mpaka yule kijana akaingia line na hatimaye wakaoana. Side effect ni kwamba anajuta kwani jamaa hana mapenzi ya dhati na ni mkorofi,mama analia na kusali moyo wa jibaba ulainike....!
 
Si useme tu mbona najua unavyo nipenda unajipitsha jf nikiwa??? MMU
 
kuwa na moyo wa al-qaeda, jilipue kwake kwa kumwambia ukweli...

Akikataa, basi ujue kweli hakupendi, usilazimishe, No ya mwanaume ina mengi ndani mazito.. Na yes yake yahitaji utambuzi pia..
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?
. Mpikie chapati mpelekee
 
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?

So what?
 
Back
Top Bottom