Kuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!
Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??
Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!
Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience
Mbona kama unanichana hiv au
Nenda kwa mganga bwana, ukifanikiwa nipe mrejesho na mimi kuna kaka ananizingua halafu mie nammind nataka kama yako itatiki nami nikamloge kwa huyo mganga, ahahahKuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!
Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??
Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!
Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience
Dah umpendae hakutaki usiempenda ndio anakosa kula ju yakoNimejaribu ,ninae lakini uyo naona kaa nampotezea muda maana mi nampenda Huyo ambae hanitaki
Nipo Mimi kamalanzima natoa tiba zote izo ....Nenda kwa mganga bwana, ukifanikiwa nipe mrejesho na mimi kuna kaka ananizingua halafu mie nammind nataka kama yako itatiki nami nikamloge kwa huyo mganga, ahahah
Acha kumuwaza na endelea na shughuli zako za kila sikuKuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!
Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??
Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!
Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience
Wakawaida, Ila moyoHebu tupia picha yake hapo tumuone kama kweli ni mzuri maana umexema unampenda mpaka unataka kuwa chizi..
Kupenda shidaaSasa mtu akutaki unaendelea kufuata wa nini
Nadhani kilichompelekea aseme huyo mwanamke anaempenda anapenda masharobaro ni wivu ambao umechanganyika na wivu. Hii inaonyesha anampenda sana. Na ni hatari sana kumpenda sana MWANAMKE asiekupenda hata kidogo.Una umri gani? Ni dhahiri una umri mkubwa kiasi kwa huyo binti ambae kuna dalili yuko kwenye teens au late teens ambapo bado hajielewi vyema huku wewe ukijiona unatakiwa kuanzisha familia.
Kwa kifupi ni kuwa wewe na huyo mwanamke hamwendani,tafuta anaekuhitaji na anaevutiwa na wewe na sio huyo. Kama anapenda masharobaro,hiyo ni choice yake.
We ukipenda unafanyaje!! Bila shaka utapgania unachopenda na ndio ninachojaribu kufanya!! Tena nyie wanawake ndo mnakunywaga had sumuHivi kwani lazima unayempenda uwe naye????
Ndiyo nyie mnaumizwaga wewe jitu hupendwi ila unaforce weee badaye akikumwaga unalialia.