kimondocheusi
Member
- Feb 17, 2017
- 6
- 4
ninamsichana m1 nampenda na anaonyesha kunipenda lakni nligundua ana mchepuko(mwanaume) ambae alikuwa nae kabla sijawa nae(yan ex) kimahusiano lakni baada ya kugundua wakaachana ili abaki na mimi pia namjali na ananijali ila simwamini sana pia anabadilika badilika (kigeu geu) ndugu zake wananijua vzuri ila ni mtu mwenye hasira kwa vitu vidogo mfano ukimwambia akupigie ananunua MB ili tuchat watsapp --->huyu atakuwa ananipenda kwelii na nitamtafsiri kama mwanamke wa aina gani